Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Ninajamaa angu anaishangaza sana, akiwa na kideti na demu huwa anavaa shanga zile za kimasai na moja ya cheni kiunoni, nikamuuliza anavaa ili iweje Nanukuu “''Ukimpiga demu ukiwa umevaa shanga...
2 Reactions
100 Replies
47K Views
Habar za wakat uu mim ni mshaur wa maswala mazima ya fashion and life style leo napenda kuongelea leather jacket iz ni jacket ambazo kwa mwanaume yoyote kwenye collection yanguo zako nakushaur uwe...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Pesa na muonekano ni vitu viwili vinavyokwenda pamoja(perfect combination) kwa hiyo wale wakali wa hizi kazi tupeane tips na trending style ili tuweze kutunza vibanda vyetu vya kichwani. Vitu vya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna mtindo umeingia hivi Sasa hapa mjini wa wadada kutengeneza shepu na kupungiza tumbo kwa kufunga mikanda tumboni. Mtindo huu siyo mzuri ndugu zanguni maana mikanda hii inabana sana tumbo...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Hello wapendwa kama kama kichwa kinavojieeleza mara nyingi mekuwa nikijaribu kutengeneza waxing lakin nafeli yan inakuwa ngumu kama gundi,msaada wapendwa napenda fanya hii kitu lakini nafeli!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi naomba kujuzwa faida za mwanaume kuvaa boxer na hasara za kutokuvaa kwa maana naona kama kero ukivaa inayotight dushe inabanwa sana korodani ndio usiseme ukivaa yakuachia space dushe...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu wana JF, Poleni kwa majuku ya kila siku. Naombeni ushauri wenu, nimehamia hapa DSM na kuanza maisha, takribani week imepita. Nilijibanza kwa ndugu sasa nimepata vyumba 2 ambavyo ndo...
1 Reactions
435 Replies
178K Views
Olives are a wonderful fruit native to Mediterranean Europe. They are also cultivated in many other regions of the world nowadays. Some of these including North and South America, South Africa...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Wife ngozi yake ni delicate sana. Vitu vya jamii ya chuma vinamdhuru kwa kuwashwa na kuota vipele. Poda yenyewe inamsababishia chunusi. Kwa sasa hatumii mafuta yoyote hasa usoni kwani ngozi yake...
2 Reactions
34 Replies
12K Views
Wadau wa JF Hamjamboni? Kwa muda mrefu nimejitahidi sana kuwa na muonekano wenye moustache bila mafanikio. Umri wangu kwa sasa unasonga mbele kwa kasi lakini sijona mafanikio yeyote zaidi ya...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu Naomba ushauri ni body spray gani nzuri kwa mwanaume. Ahsanteni.
3 Reactions
47 Replies
15K Views
Samahani wadau wenzangu, natambua kuna uzi wa pafyumu mbalimbali humu lakini nilivyoupitia nimeona nyingi za mle ni bei kali. Wengine sisi walamba nyau kumudu ni kazi. Ombi langu kwenu ni aina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mavazi ya juu ya mavazi ya kiume 5 ya kupendeza katika Mahojiano ya Kazi Ili kuwa na maoni mazuri, lakini angalia mtaalamu na mtindo, angalia mavazi haya ya mavazi ya wanaume ambayo ni bora kwa...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
If you struggle with skin discolorations, blemishes, they can be evened out, here's how to do it naturally. A lot of ladies feel the need to For some, the desire to have even skin tone is a...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari zenu? Mashoga wengi huku Temeke wanavaa pensi za jinzi . Mara nyingi hizi pensi zao zinakuwa na sifa zifuatazo; - Fupi (hazivuki magoti) - Zinabana mwili - Zimetoboka au kuchanika...
19 Reactions
98 Replies
20K Views
Tango ni tunda lenye utajiri mkubwa sana wa Silicon na Sulphur ambazo huhitajika kuboresha afya ya ngozi, kucha na nywele. Ni tunda ambalo halipaswi kukosa ndani kwa mtu yeyote anayependa urembo!
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Tupia picha yoyote ya mavazi ya mwanaume katika muonekano wa kisasa hasa mavazi ya ofisini au katika occasions maalumu Mimi naanza na hii
2 Reactions
45 Replies
17K Views
Wakuu Nimeacha Kidogo mazoezi ya Kukimbia kwani Yanakondesha sana na Sasa nataka Nijaze Mikono, Six packs na Miguu. Mtu unanunua saa ya 700,000 halafu unapunguza Mkanda wake wa Silver siku Mmoja...
1 Reactions
26 Replies
10K Views
Kam uzi unavojielez nimetokea kuvutiw na tatoo na nahitaj kuchora iwe simple simple tu nilikua nahitaj kujua maeneo gan nawez kupat mchoraj mi nip kimara na gharam zake zikoje zikoje
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba kufahamu kuwa ni kweli kuna sabuni ya maji ya kuogea? Kama ipo je unaitumiaje kuogea? Unajipaka, unajimiminia au unachanganya ndani ya maji? Kama unatumia Bomba la mvua la kuogea inakuaje...
2 Reactions
128 Replies
32K Views
Back
Top Bottom