Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari wana JF Hebu tupeane uzoefu wa mambo ya fashion kuhusu vifungo vya shati kukaa mkono wa kushoto au wa kula. Kuna ukweli wowote kwamba vifungo vikikaa mkono wa kilia ni shati la kiume na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana Jf habari za muda huu, Bhana nimesagula viwalo vyangu mnadani ila kila nikivifua harufu ya mtumba haiishi. Nimetumia sabuni kama aerial, Omo, jamaa ila wapi kitu hakitoki. Naombeni...
0 Reactions
29 Replies
12K Views
Habari, Nimekutana na jamaa angu ananiambia kwa asilimia 70 ya mafuta ya olive oil tunayonunua ni fake, Tafadhari naomba kupata mwongozo ni wapi ambapo nitapata Olive oil pure.
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Ndugu wanaJF Kuna umuhimu wa kuogea sabuni yenye harufu nzuri tena ambayo mpenz wako anaipenda, ama waweza kuogea sabuni yoyote hata Omo ilimradi uwe umeoga? Nimeuliza hivi kwasababu sabuni...
1 Reactions
163 Replies
33K Views
Habari wapendwa,, Kati ya vitu ambavyo binadamu analazimika kutumiakila siku Ni mafuta ya kujipaka. Katika uhitaji huu, wafanyabiashara nao wamekukuwa wakibuni aina mbalimbali za mafuta ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Niajabu waswahili tunatabia kufua chupi kwa siri yale maji ya mwishoo bafuni. baada ya kuoga afu tunaenda kuanika hadharani kama chupi ni siri sirini kwanini baada kuifua utuonyeshe anika chimbo...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Kama unabandika kucha na kuvaa Mawigi, juwa watu wanakuona mjinga kibiriti ngoma. Wanaokuambia umependeza wanakuinjoy tu. Fake fake fake fekero.. Wavaa Mawigi mtakufa mumesimama...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu Mimi binafsi swala la ndevu naliona kama kero, nilikuwa nauliza ni namna gani mtu anaweza kufanya ili asiewe na ndevu . Kuna muda ndevu zinanipotezea muda, zinaharibu mwonekano...
2 Reactions
63 Replies
11K Views
Hello guys! Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote? Asili ya...
13 Reactions
72 Replies
9K Views
Naona watengeneza nguo na wabaunifu wa mavazi kama akili zao zimeyumba kabisa. Hii nguo ni kwa ajili ya wapenzi wanaopendana
1 Reactions
1 Replies
1K Views
1.KUZUIA MAGONJWA YA NGOZI MIGUUNI. Tumia sekunde tatu tu kuvaa soksi na ujikinge na maradhi haya ya fungus na bacteria, kama sio mpenzi was soksi nashauri ufikirie tena maamuzi yako ya kutovaa...
3 Reactions
15 Replies
5K Views
Wimbi kubwa la wanawake wanaopenda kunyoa nywele zao kwa mitindo kama ya wanaume limezidi kuongezeka na pia Saluni nyingi za kiume zimedaiwa kushindwa kuwanyoa vizuri wanawake na kuhakikisha...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Aseh hv ulishawai kutana na mwanamke usiku ile rangi yake ya weupe ikakuvutia ilee paaap unakutana nae asubuh huamin macho yako vidole vyeusiiiiiiii yan anatisha vidole vya mikononi mpk...
4 Reactions
30 Replies
5K Views
Wanajamii naomba msaada, lotion nzuri kwa wanaume wenye ngozi yenye mafuta maeneo yenye baridi. Nawasilisha.
2 Reactions
23 Replies
6K Views
Kama ilivyo kawaida kwamba binadamu tupo tofauti socially, economically, physically, in religion na pia in cultural tupo tofauti. Kwa maana hiyo mionekano yetu inaweza ikasababisha mtu aijue tabia...
4 Reactions
34 Replies
7K Views
Naomba kuuliza kuna madhara ya kunyoa nywele za kifuani na kitovuni au tumboni maarufu kama garden love? Maana naona zinanizidi kiwango na zinakua ndefu unajua nywele singa yani zinakuwa ndefu...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ninataka kumfanyia suprise kidogo demu wangu nampenda sana. Ebu ladies niambieni kwa uzoefu wenu wapi nitapata vitu vizuri vya kumfanya ashtuke huyu sista duu. Nataka kumnunulia sandals fulani...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Mavazi ya juu ya mavazi ya kiume 5 ya kupendeza katika Mahojiano ya Kazi Ili kuwa na maoni mazuri, lakini angalia mtaalamu na mtindo, angalia mavazi haya ya mavazi ya wanaume ambayo ni bora kwa...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
Ngoja niwaambie kitu sisi wanadamu uwa tuna bacteria mdomon wao uwa wanafanya mdomo uwe na harufu kali sana na kama unatumia dawa za meno za kawaida niamin una herufu sana mdomon na mimi nilikuwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom