Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
wakuu kwema? Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha. Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri...
6 Reactions
54 Replies
9K Views
Salaam Wakuu, Mimi napenda kuvaa Socks, lakini tatizo kubwa ni kupata socks zinazofanana. Ikifika asubuhi mimi navaa Socks iliyokaribu muhimu iwe safi. Sababu hamna kazi ngumu kama kutafuta...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari! Kila kukicha kuna jambo jipya mengine ya kustaajabisha na mengine yakuuzunisha katika jamii. Wimbi kuwa la vijana wetu wa kiume wamekuwa wakijisahau kupita kiasi sababu jamii kwa sasa...
11 Reactions
35 Replies
9K Views
Samahani wadau napenda kufaham kuhusu hii huduma ya Waxing. 1. Inatolewaje na utolewa na akina nani? 2. Mfno ukifanya waxing ya kwapa au kule kwa bibi nywele/,vinyweleo uota baada ya muda gani...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
nasikiaga siku hizi gest huwa zinajaaa sana na mambukizi ya magonjwa ya zina huongezeka kwa kasi sana je hi siku ni kwaajili ya nini haswa je ni sex au kuonesha upendo kwa kutoa zawadi kwa ndugu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Please naomba kujuzwa ni rangi gani ya suti nzuri inayovutia kwa mtu yeyote?,Kwangu binafsi nalike nyeusi.
2 Reactions
26 Replies
52K Views
Habari! Wanawake sasa naona mnajisahau sana kwenye swala zima la kutunza miili yenu. Msishtuke nitaongelea kitu kidogo tu, wanawake upande wa kuwa na matumbo/Vitambi ambayo yanaleta shida moja...
8 Reactions
103 Replies
8K Views
Mazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono. Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
0 Reactions
57 Replies
11K Views
Nywele zangu ni natural na huwa Napenda kuosha saluni na kuzibodrai huko huko. Kwa sasa najaribu kuchana aina hii ya style lakini inagoma sijui hawa walitumia nini kuziweka kama zilivyoonyeshwa...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Nani anasemasema kuhusu wanaume wa Dar, basi sahau hiyo kitu kuanzia leo anza kusema wanawake wa Dar. Yaani hata kidume uwe na ugwadu wa miaka 10 nyie wanawake wa Dar hivi vitu havivumiliki. Wigi...
8 Reactions
38 Replies
3K Views
Pamekua na wimbi kubwa la vijana haswa tulio katika muda wa kuchagua yupi wa kufunga nae pingu za maisha, kuhofia wanawake wanao weka style fulani fulani kwamba hawajatulia au wakorofi nk...
2 Reactions
68 Replies
10K Views
Fallyjan22 https://t.co/JuD4g8Pc3J https://t.co/2ptRbW2Q6f 1.Sandals za Kike kwa kiume zipoo 2.Simple za kike zinapatikana 3. Mafuta ya Nywele yapoo piaa...:Mzuri sanaa yani. Nywele zinajaa na...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiangaika kupata aina ya nguo za kuvaa tena hasa wanawake wanene, kutokana na maumbo yao wanaona ni kazi sana kutafuta nguo, wengine hukosa hata uhuru wa kutoka out...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Afrika tumepoteza utamaduni wetu. Rais ni alama ya nchi, madam Rais angevaa vazi la asili la Ethiopia angeweza kuitangaza nchi yake zaidi. Nikiwa shule ya msingi , Waziri Mkuu wa India, Bi Indira...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Wana jf salaam, Miaka kadhaa iliyopita wavaaji wa jeans walionekana ni vijana wa kihuni ,lakini miaka ya karibuni vali hili limezijolea wavaaji wapya wenye heshima zao, licha ya kuwa kwa Tanzania...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi. Shida ni nini hasa?
9 Reactions
29 Replies
5K Views
Hello wanajf Leo nilikuwa kijiji msanga kwenye shughuli aisee nikapata kushangaa dukani nakuta pempas wanauza moja moja nikamuuliza muuzaji je zinatoka akasema mnoo watu awawezi kwa wingi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Napenda kua modo hatua gani nipitia ili niweze kufika kwenye ndoto yangu au kama kunamtu anaweza kunichukua kuweza kuvaa na kupiga picha kupost mitindo yake Niko tayari mvuta ninao mwili wakuvaa nao
0 Reactions
8 Replies
1K Views
First and Foremost, every woman who is alive today has her unique quality of making herself look absolutely stunning. And the fact of the matter is that, it doesn't not matter how much a budget a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka nika point kitu kikali, kitu cha suti kwa bei nzuri lakini. Chimbo gani Kariakoo waungwana?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…