Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari za mchana wanajamvi Kwa muda sasa nimekuwa nikikerwa na baadhi ya tabia ambazo zinaonyeshwa na jinsia ya KE ambazo sio za kistaarabu kabisa.Moja ya tabia hizo ni 1.Wanawake wengi wanapenda...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Nikianza mimi Huwa natumia mswaki wiki mbili Natupa,Yaani ukichange shape yake(ukianza kuchambuka ). Wakuu Embu tujali afya ya kinywa.Unakuta mtu mswaki una Miaka miwili mpaka minne,. Alafu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Let Be Real. Mwanamke mwili wake ndio pambo lake, ndio maana wanasema mwanamke uwa, Mwamke aliye Smart anaujari mwili wake kwenye maeneo tofauti tofauti. Kwa mwanamke aliye Smart hawezi jiachia...
4 Reactions
44 Replies
7K Views
Habari wanajamvi, Nimekuwa nikitafuta mafuta ya massage kwa muda mrefu sana bila mafanikio, ningependa kujua ni mafuta gani ambayo ni bora zaidi kwa kufanyia massage na nikijua na bei itakuwa...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Kope nazo humpendezesha mwanamke kuna aina ya rangi za kupaka kwenye kope, lakini zinatofautiana. Ni vyema ukawasiliana na wataalamu wa mambo ya urembo kwa ushauri na siyo kukurupuka. Siyo...
4 Reactions
13 Replies
5K Views
Nywele zangu ni ngumu na zinavozid kukua zinakuwa brown in colour. Kama kuna anaejua mafuta mazuri ya kuzifanya ziwe rahisi hata kuchanika anitajie (lain na kuretain colour)
3 Reactions
27 Replies
17K Views
Kumbe bwana hata waafrica tuna nywele ndefu tu kama wazungu Hii thread Ni maalum kwa watu wenye nywele natural I mean tunaotaka nywele ndefu bila dawa aka relaxer Hapa tutashare uzoefu Nini Cha...
5 Reactions
15 Replies
5K Views
Wakuu wasalaam. Kheri ya mwaka mpya. Mwenyezi Mungu akatujalie afya njema na mafanikio tele 2021. Ndugu wana JF, natafuta hizi sabuni aina ya ALFA kama inavyoonekana Pichani. Hizi sabuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
^suruali ya kitenge ^mavazi yenye rangi ya pink ^kaptula (kwenye halaiki au event) Kwanini?? #wataalam wa "pamba" nisaidieni hili
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Sijui nina tatizo au la, ila mimi nachukia sana kuona mwanamke kavaa kyupi, Na vise versa naenjoy kuona KE akivaa boxer, nakua na amani Nakumbuka mwaka fulani nilikua na date na tom boy yeye...
4 Reactions
58 Replies
8K Views
wakuu nahitaji perfume au bodyspray nzuri ya bei rahisi kikwapa kinanitesa saana msaada wenu
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Katika matukio yaliyotrend week iliyopita moja wapo ni wedding reception ya Mboni Masimba,mwanamama machachari mwenye kipindi chake TBC -Mboni talk show. Mboni aliolewa na bwana Tajiri mwezi mmoja...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nawasilisha kwenu wakuu. nimekuwa na safari nyingi na mwili umechoka sasa. Kama sio Magomeni basi iwe karibu.Au kama una contacts zao nimlete hapa kwangu.
1 Reactions
33 Replies
10K Views
Mtu anae fanya mazoezi ya kukimbia anaweza ondoa kitambi au mpaka aende jim.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Cerave moisturizing Cream gharama yake 70,000/= anayejua mengine yenye gharama zaidi atujuze...Uzi tayari
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni cerave moisturizing Cream Bei yake ni 70,000/= anayejua yenye gharama zaidi atujuze Uzi tayari.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hali zenu wote wana JF. Zifuatazo ni body scrub zitakazokutakatisha mwili,matumizi yake ni kila wiki mara moja. [emoji254]UNGA WA KAHAWA NA MAFUTA YA NAZI. vichanganye vyote ivo upate ujazo ambao...
11 Reactions
22 Replies
22K Views
Sina hata haja ya kusalimia, Kama kichwa cha habari kinavyo sema, naombeni mueleze wazi kabisa kwanini nyie wanawake mkisha olewa mnajisahau na badala yake mnakua rafu sana? Kila saa makanga kila...
12 Reactions
24 Replies
4K Views
Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa. Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema...
1 Reactions
32 Replies
9K Views
Je unaujua mfuko mdogo katika suruali yako ya Jeans? Ndiyo, ule ambao umeshonwa juu kidogo ya mfuko mkubwa wa kulia. Umewahi hata mara moja kusimama na kujitafakari kwa nini huo mfuko mdogo mbele...
27 Reactions
69 Replies
23K Views
Back
Top Bottom