Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mi Ni Memba Mpyaaa Naomba Nipokeeni.
0 Reactions
5 Replies
643 Views
Habary zenu waheshimiwa....
0 Reactions
4 Replies
830 Views
Hello!
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Heshima yenu wakuu! Naomba kukaribishwa Jf ili tuweze kubadilishana mawazo hop ntapata ushirkiano wa kutosha... Siku njema kwenu wajf
0 Reactions
7 Replies
920 Views
Wapendwa naamini mu wazima na mnaendelea vyema na ujenzi wa Taifa. Mi ni mgeni, naomba ukaribisho jukwaani. Ahsanteni
0 Reactions
8 Replies
717 Views
Wakubwa shikamoo nyote na walio wadogo Marhabaa! Kwa heshima zote ninawaomba mnikaribishe humu jamvini!; kama ilivyo ada pale ninapokosea msiache kunifundisha na ninapoefanya vizuri basi msiache...
0 Reactions
10 Replies
798 Views
I feel so lucky to join with you, Thank you!
0 Reactions
11 Replies
838 Views
nipokeeni
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nafuraha kuwa mwana familia hapa JF,nategeamea ushirikiano kutoka kwa wote kwa manufaa na maendeleo kwetu sote.
0 Reactions
4 Replies
756 Views
Nimekuwa nikisoma mada nyingi na zenye mafundisho kupitia jukwa hili nimeshawishika kujiunga nanyi rasmi wandugu.
0 Reactions
4 Replies
670 Views
Hellow
0 Reactions
4 Replies
720 Views
Shikamoni wakubwa, wadogo zangu marahaba...Nimechoka kuchungulia madirishani, leo nimeona niingie baada ya kugundua hapa ni nyumbani. Awali niliona Mwanahalisi limefungiwa...Mwananchi na Mtanzania...
0 Reactions
4 Replies
837 Views
hodi jamani humu jamvini!ni matumaini yangu tutashirikiana katika hoja mbalimbali ili kutafuta suluhu juu ya maswali kadha wa kadha yanayotutatiza watu wote!
0 Reactions
4 Replies
832 Views
Habari za asubuh wandugu mi ni mgeni ndio nimejiunga leo kwa heshima na taadhima naomba mnipokee kwa mikono miwili ni hayo tuuu,,,nawatakia siku njema na asubuh njema
0 Reactions
4 Replies
833 Views
Habari wana jamii, ninafuraha kubwa kujiunga rasmi naiJF home of great thinkers kwa muda mrefu nimekuwa naingia kama guest, kwa kifupi nimepata faida nyingi sana kwa mada zenu mahususi. Ni...
4 Reactions
55 Replies
4K Views
ndio nimeshaingia..mh mbona pako kimya sana?
0 Reactions
7 Replies
966 Views
Hello hello Wanajamiiforum. Ninabisha Hodi tena kwa mara nyingine. Nilikuwepo miaka ya nyuma ila niliondoka kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. It is my expectation that all of you will say...
0 Reactions
7 Replies
704 Views
Nipo mbali nanyi kimwili, lakini nipo karibu nanyi kifkra. Naingia uwanjani. Wasaalaaaaammm...
0 Reactions
4 Replies
886 Views
Hodi wanajukwaa. Wakubwa shikamoni, wenzangu habari ya sasa hivi, wadogo hamjambo.
0 Reactions
6 Replies
876 Views
Nadhani ndugu zangu tunajua kwamba bila umoja hakuna litakalowezekana katika haya maisha na sidhan kama nijambo la busara kufikiria kuvunja muungano wetu..Nadhani ndio sababu ya Muumba wa dunia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom