Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Kwa Mara Ya kwanza nawasalim wana JF! Naamin nitajifunza mengi kutoka kwenu! Mungu Awabariki
0 Reactions
4 Replies
811 Views
Halloooooo!!!!!!!
0 Reactions
7 Replies
759 Views
Hodi humu ndani mi mzima wa afya sijui nyie wenzangu Joyce wowowo naongea!!!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
:smiling:currently i love only jamii forum coz its where napopata hot news za kila siku...
0 Reactions
5 Replies
659 Views
salamu wote, najitambulisha kwenu naomba mnipokee kwa lolote mnijuze na kuniongoza mie bado kinda katika safu hii. Naomba ushirikiano wenu katika mada mbalimbali nitakazopost.
0 Reactions
5 Replies
586 Views
Hallow JF...! Am a new member joining you guys! Ningependa tujuane zaidi na kukaribishina, huo si ndo utamaduni wa JF au?
0 Reactions
6 Replies
769 Views
Siyo mgen sana wa JF lakin cjawahi kuomba utambulisho kwasababu hiyo cjawahi changia chochote,naamin ninyi n waungwana mtanikaribisha jamvin..
0 Reactions
5 Replies
706 Views
Hodi wana jf ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia thread za watu mbalimbali na kuvutiwa sana. Leo nimeamua kukata shauri ili na mimi niwe niweze kuwa mchangiaji pia hata kuleta mada ambazo...
1 Reactions
5 Replies
837 Views
hi! ni mgeni humu,
0 Reactions
5 Replies
766 Views
Hi
Karibuni sana wakuu wa nchi hii
0 Reactions
6 Replies
697 Views
Members i Know how busy you are in Thinking Great, im just in joining you in this room of evaluation and discusion Please recognise my Presence; Nimepata kiti cha nyuma kabisa.
0 Reactions
4 Replies
710 Views
Am a new member plz accept me
1 Reactions
7 Replies
678 Views
Mm ni mgeni wenu katka JF ....nahitajii mwanachama wakunielewesha zaid kuhusu JF chama kubwa thnx!......
0 Reactions
6 Replies
696 Views
Mimi ni mgeni hapa JF naomba mnipokee na mnifundishe mengi na kuniongoza Nawapenda wote
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari zenu wakuu!!!!!!! naombeni kidogo mnivumilie, mi mgeni jamani! hebu tizameni hizi picha, then comment...! ladies and gentlemen.. these photos were taken...
5 Reactions
83 Replies
5K Views
Jamani wakongwe naombeni mnikaribishe kwani nahisi nimechelewa sana kuingia humu jamvini kwani ni kutam jamani
0 Reactions
6 Replies
856 Views
kwa mara ya kwanza napiga hodI jf, ushirikiano wa mawazo hac na fikra pevu ndio silaha kubwa inayoweza kuifikisha jf mbali pamoja na kudumisha upendo na mshikamano baina ya wanajamvi pacpokujali...
0 Reactions
8 Replies
855 Views
Natanguliza heshima kubwa mbele ya jukwaa hili makini ambalo nmekuwa nikihaishwa kwa kipindi kirefu sasa na hawa GT wa humu ndani... Thank u.
0 Reactions
28 Replies
2K Views
hello. habari zenu wana jf
0 Reactions
10 Replies
989 Views
niaje wana axee ntapataje hayo majna ya waliokosea ya heslb?NISAIDIENI
0 Reactions
4 Replies
716 Views
Back
Top Bottom