Nimekuwa mpitaji tuu kwa majukwaa kusoma taharifa mbalimbali ila sasa nimeona nijiunge kabisa kupiga vita propaganda humu ndani kwan umbea umekuwa mwingi humu jamvini.
Habari wana MMU mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili maridhawa naomba nipewe ukaribisho pamoja na taratibu za humu....
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hope you all well.
I heard of this JF from a friend..people exchanging and sharing ideas on all aspects in life. Another member on JF..let's keep the ball rolling.
Thanks for the kind attention!
Ash.
nimekua nikifalia kwa Muda mrefu sana JF,hasa jukwaa la MMU na Jukwaa la Siasa,nimeona si vema kujitenga na Watanzania Wenzangu katika kubadilishana Mawazo,Naomba mnipoke Wanajamvi,Hodiii mpaka ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.