Baada ya mda mrefu wa kureview humu ndani kama mgeni sasa nimeingia rasmi kujiunga na magreat thinker wenzangu hasa wa JUKWAA LA SIASA katika kukuza demokrasia ya kweli hapa nchini. . Naombeni...
Hamujambo vijana wangu? Mie ni msomaji mzuri na mfatiliaji mzuri wa yanayoendelea humu jamvini..nliwahi kuwepo e mail yangu ikawa hacked na wajuvi but wazo tete is back. Gime a like please!