Habari zenu watanzania wenzangu, nimefanya uamzi wa busara kujiunga ndani ya hii forum baada ya kuona itanifaa kwa kupata changamoto mbali mbali. Nimekuwa mfatiliaji wa topics za forum hii kweli...
Habarini humu jamvini?mimi ni mgeni naomba ukaribisho wenu waungwana!
Kwa bahati mbaya kwa wale wapinzani ningependa kuwataarifu kwamba mimi ni mwanachadema damadam!na declare interest!
Nilikuwepo humu kipindi fulani,baada ya kupotea kwa muda mrefu nilivyorudi,ikawa ngumu ku-log in kabisa.
Sasa nimechoka kuwa guest muda wote,naomba mnikaribishe tena bila kinyongo ndugu zangu.
Hello Jf members,I have been a guest for years now and I'm happy to be registered in this great site.
I am looking forward to your great co operation so that I may ultimately be a great thinker.
Ni furaha kwangu kujiunga na jamii forum naomba ushirikiano wenu,naheshimu mawazo yenu kwa kua wengi wenu mnaitakia nchi yetu mema wakati huu mgumu kiuchumi.
habari zenu wana jamii.ninaomba kuwa rafiki yenu.napenda changamoto zenu zinafanya kichwa changu kinakuwa na mambo mapya na mazuri.ahsanteni kwa ushirikiano wenu, may god bless u all
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.