Jamani wana jf mi mgeni huku kabisa japo nilikuwa nachungulia kwa mbali, wenyeji jamani nielekezeni mahali pa kutua mizigo yangu mi ni mgeni wenu jamani, nani yuko hapa mlangoni jamani?
Habarini za mchana wana JF?
Kiukweli na kwa moyo wa dhati kabisa nimeamua kujiunga humu ndani ili tuweze kuunganisha nguvu katika kuipigania nchi hii.
Nimekuwa nikichungulia tu mawazo yenu kama...
Habari zenu wanajamvi.,baada ya kupitia jf kama guest sasa nimeamua kuwa member kamili wa jf.
Naombeni mnipokee kwa moyo mkunjufu na tushirikiane jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.