Hodi hooooodi naingia,
uwanjaaaaani najimwaga,
mnikaribiiiishe jamani,
nijisikiiiiie nyumbani.
Asanteni sana nina imani mtanipokea kwa moyo mkunjufu na kushirikiana nami siku zote.
msingi wa Taifa lolote ndio unaofanya Taifa hilo kuwa na sauti moja,mwelekeo mmoja,Amani,Umoja na mawasiliano.Taifa linapokuwa haliujui msingi wake hushindwa kuutunza,kuulinda na kuutetea...
nashukuru admn kwa kupata nafasi hii ya kuwa mmoja ya wana JF kwani naamini ni sehemu ambayo nitazidi kujifunza mengi kwani jamvi hili ni zaidi ya darasa!na nipende kuwasali heshima yenu wakubwa...
Habarini humu jamvini?mimi ni mgeni naomba ukarisho wenu waungwana!
Kwa bahati kwa wale wa pinzani ningependa kuwataarifu kwamba mimi ni mwanachadema damadam!na declare interest!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.