Hello Ladies & Gentlemen.
I hope everything is good,i just want to tell you now that we are in the same boat.
NIPOKEENI KWA MIKONO MIWILI
AHSANTENI SANA MUNGU WETU WA MBINGUNI AWABARIKI SANA
Thanks for administrators for allowing me to meet fellow Great Thinkers at their home.
Sasa nami nimepata pakujuzika zaidi kiufahamu maana nilikuwa naishia kusoma tu
Hodi hodi hodi hodi hapa...
Nimeamua kuingia rasmi. Kutoka kuwa mgeni kila siku sasa nammi nataka kuwa mwenyeji.
Nashukuru moderator kwa kuanza kunikaribisha. Sasa naomba ukaribisho wenu wanaJF.
Kuwa guest kila siku kuna...
Ntanguliza shukurani za dhati kwa aliyetengeneza binadamu bila shaka ni mwenyezi mungu na muweza ya yote,
Pili na mshukuru aliyempa mwongozo wakupata elimu na kutengeneza chombo kama hiki na mungu...
Hodi katika jamvi hili tukufu la uchambuzi yakinifu. Nakula kiapo leo hii kuwa mwanaJamvi muadilifu,na kuchangia mada kwa weledi na heshima kwa wanaJamvi wenzangu. Nitakubali kukosolewa pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.