Nawapa big up management ya jamiiforums kwa kazi njema sana ninayo iona hapa pamoja na members wote. Nafurahi kuwa nanyi kwenye jamiiforums. Mungu awabariki.
Wakati ndio sasa'
- Wa kuwang'oa madarakani wale wezi wote wa kodi zetu
- wa kusema hapana kwa CCM
- wa kufanya mabadiliko ya kweli ndani ya nchi yetu
- wa kutokupangiwa nini cha kuongea na nini...
Habari wana JF nimeingia Mzenjiberi katika ukumbi wenu. Nimeona niingie kushiriki katika mijadala hasa ya siasa kwa sababu naona mambo mnayojadili yananigusa sana , zipo hoja za msingi lakini zipo...