Mabibi na mabwana hodi hodi naingia, natokea mji mkongwe, unguja, mwakilishi wangu ni Jussa, mfikapo unguja karibuni forodhani tupate urojo na juisi ya muya
Naahidi kuwa mwanachama mwema wa J.F
Wale wote niliowakosea tusameheane,
tunajenga nyumba moja hivyo tusigombane kwa sababu ya kugombea fito.
-
Regards
[*****]
anne marie,
female,
employed,
education: phd, health issues
umri: 32yrs,
politics-atendae haki kwa muda huo ndo nampa support ya kisiasa,
relationship status- Kapuni!!!,
faith: christian...
ha bari mimi ni mtanzania wa kawaida napeda kujumuika na wana jamii ili niweze kupata habari pamoja na mambo mbalimbali yanayolihusu taifa na biashara za kimataifa. karibuni wote ambao muna weza...
HODI JAMII FORUM
JINA:-NGIDO DD
>>Naomba kubadilishana mawazo katika tasnia hii ya TEKNOHAMA ambayo ndiyo kimbilio la dunia kwa ujumla wake.
SWALI:-
>>>>>>>Je ni watanzania/watanganyika wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.