jamani hodi wanajamvi na mimi nimejiunga niweze kufaidi ya humu nimechoka kusoma tu maoni ya watu baada ya kutafakari na mimi nisiwe nyuma tuchangie mawazo tuendeleze mbele gurudumu la maendeleo...
Hodi! hodi! hodi mpaka ndani, Wenyeji mpoooooooo!
Hi my learned friends, I'm very glad to join the forum, what i request from you is constructive ideas toward our country development and...
Ninafarijika sana kila mara ninapoutembelea ukurasa huu na kusoma yale yanayochangwa kutoka kwa wanafalsafa wanaofikiria kwa kina na wanao ona mbali.
nimeungana nanyi kutoa hoja na kuchangia
Nimeona ni mhimu kuungana nanyi ili tuweze kulisukuma gurumu la JF ambalo linaonyesha mafanikio makubwa sana ktk jamii yetu ya Tanzania ktk kuishauri na kuipongeza serikali pale inapofanya vizuri...
naomba kuungana nanyi kwenye huu mchakato wa kuelimishana, nimependezwa na michango mbalimbali ya wana JF nami nimevutiwa kushiriki mijadala mbalimbali inayoibuliwa na GT
asante!
Hello wana JF
Nimechoka kukaa Bohari Kuu Ya Madawa pale keko, naomba mnikaribishe kama mlivyowakaribisha Tablets wenzangu ili na mimi niwe mwana JF, naahidi tutashirikiana bega kwa bega katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.