Mimi hapa ni mgeni. Niliona vyema nijitambulishe kwenu, nikiwa na nia njema.
Nasoma chuo cha Mzumbe (Morogoro), nipo 3rd yr kwa sasa.
Tupo pamoja wadau.
Naomba mnipokee na ninawasalimu wakubwa kwa wadogo humu ukumbini.
Leo ni siku kubwa kwetu nchi yetu ikiwa kwenye uchaguzi mkuu wa kitaifa, namimi nikaona niweke kumbukumbu kwa kuwa mwanachama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.