Niaje wana jamvi hili, muungwana mwenzenu najitambulisha jamvini kama mnavyoelewa waungwana jamvini huruhusiwi kuingia na viatu na wala kuingia bila hodi na salamu.
Naomba kuwakilisha wakuu.
Ni matumaini yng kuwa nyote mfresh kiafya kama niilivyo mimi. Kama yupo aliye kuwa hayupo hivyo, Mungu amuondoshee mtatizo yake. Baada ya kuwepo juu kwa muda mrefu huku nikiangalia na kujifunza...
Mimi ni mgeni katika forum hii,naomba kupokelewa natumaini nitaendelea kujifunza kutoka mada mbalimbali zinazopatikana katika forum hii toka kwa wajumbe.
Aksanteni
Nimekuwa nasoma habari zenye manufaa kutoka jamiiforums kwakweli nimevutiwa na michango yenu kwa mtu binafsi na taifa kwa ujumla. naomba nami kukaribishwa kujiunga bandugu
I would like to greet you and informing that I am ready to share available important information and ideas. Sorry for being away for soo long. Cheerz...!
Wana jf,kwnza kabisa nawapongeza sn kwa kuleta mchanganuo wa kimaisha unaoendana na wakati uliopo,mm binafsi nimeguswa na mijadala inayokuwepo hapa.Naombeni mnipokee na kunipa mwongozo panapo...
Mimi ni Forgive,nimekuwa nikisoma Jamiiforums na nimeshawishika ni sehemu nayoweza kuwa na kukua kifikra na kiroho.
ningependa kuwa mmoja wenu.
Forgive
mimi naitwa BOTILO au bia,nimejiunga jf mana panasisimua,changamsha,wazisha,furahisha,chekesha na mengne yoote yaan huku hakuna balaa wala keleui,naomba kukubaliwa na wadau wote cjalewa sa hv jaman
Wapendwa;
Hii ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF, nimefikia uamuzi huu kutokana na umuhimu wa michango ambayo nimekuwa nikiipata na kuvutiwa na baadhi ya mada. Naomba niwasalimie wote...
Wakubwa shikamooni, wadogo mamboz? Naomba mnipokee ili na mimi nikue nipate za kwangu na niweze kuwa Great Thinker, naamini pia hata kwa hatua niliyofikia mimi pia nitaweza kutoa mchango wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.