Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habarini wanandugu katika JF. Mimi nimejiunga hum toka 2017 huko ila skua napata muda wa kuchangia sana sababu ya mambo na namna namna za hapa na pale mpaka nilipoamua kupakua app kwenye sim...
0 Reactions
5 Replies
865 Views
Mambo vipi! Naitwa Baredo,ni Mtanzania kwa kuzaliwa,kitaaluma ni Mhandisi Mitambo (Mechanical Engineer),umri wangu ni 30+ bado sijaoa. Natumaini nitapata ushirikiano wenu ili niendelee kujifunza...
2 Reactions
9 Replies
862 Views
Hatimaye rasmi leo nakuwa member wa jamiiforum naomba ushirikiano mwema toka kwenu wadau
0 Reactions
4 Replies
598 Views
Habar Wana jf Mimi n mgeni hapa jf, Nahitaji ukaribisho wenu na guideline miiko ya wakuu humu, jf... Maelekezo jinsi ya kuchangia hoja kuepuka kuzozana na kubehave pia ni vizur kwa wenye...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Naomba mnipokee.
0 Reactions
10 Replies
827 Views
Mimi si mgeni sana lakini nilikuwa siko hewani kila wakati.
1 Reactions
7 Replies
774 Views
New Member JamiiForums I need a warm welcome to this Fantastic app...
0 Reactions
5 Replies
561 Views
Mnipokeye wa tanzania wenzangu. Hodi, hodi, hodi........
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Tupo pamoja wakuu
0 Reactions
3 Replies
595 Views
Wadau, Mambo vipi?
0 Reactions
1 Replies
550 Views
Naomba ukaribisho wenu wakubwa zangu nilikuwa msomaji tu kwa mda mrefu ila nikaona siyo vyema hatimae Leo nikasaini rasmi. Naomba ushirikiano wenu
1 Reactions
3 Replies
545 Views
Hodi hodi wakurugenz ndyg zangu nawakubali san humu ndan amjawai yumba mna akil san yan nyie mpak mke nilie mweka ndan nimempatia humu ndani wew ana akil nying sana
2 Reactions
10 Replies
724 Views
Wapendwa jina langu Ni JB Wapps. Naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
1 Replies
541 Views
Habari, mimi ni mgeni humu ndani naomba mnipokee [emoji120][emoji120]
2 Reactions
11 Replies
942 Views
Habari zenu waafrika wenzangu, mimi ni mgeni JF naomba mnipokee. Ahsante!
1 Reactions
2 Replies
684 Views
Ebwana Eeeeeee Hube nikaribisheni kwanza [emoji23] Tutakua pakua pamoja kwenye kupeana nyuzi mbali mbali, Nategemea ushirikiano wenu wana JF!!!
2 Reactions
6 Replies
699 Views
Salim Shaban Mmbago ni mara yangu ya kwanza kutumia jamiiforums naomba ushirikiano katika nyanja tofaut tofaut mimi ni bado kijana mdogo nahitaji kuwa ni mwenye kujiexpose kwa watu kwa njia ya...
1 Reactions
3 Replies
503 Views
Naomba mnipigie major kidogo, maana nimefanikiwa kujiunga pamoja nanyi.
1 Reactions
5 Replies
689 Views
Tupo pamoja sana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom