Habarini za ujenzi wa Taifa wanajukwaa.
Nimefika mtaalamu wa masoko ya ndani,Na ni mwanasiasa pia
Napenda kuchuku nafasi hii muafaka kabisa kujiunga nanyi katika kuleta MAISHA MABOVU NA DHIKI...
hello, a'alaykm, hali zenu,
my name is Kamal Fareed, and i have recently joined jamii-forums. I'm a Tanzanian, n I currently live in Dar. I'm a student at ISM (International School Moshi)...
My name is pandisho,tafadhali naombeni ukaribisho wenu,nimeamua kujiunga baada ya kuona mawazo ya vichwa vilivyomo humu.Bila shaka sijachelewa sana kama ambao hawajajiunga
Hellio!
to wanajamii wote,nawapongezeni kwanza kwa safu hii nzuri yenye
kumfanya mtu akuwe updated na mambo yote bongo na hata mbele mbele.
Na pia poleni kwa kazi nzito yakutafuta habari hz na pia...
Kama ni Maisha yako, marafiki wapo! maisha yanakwisha! marafiki wanakwisha! Kwanini uwahitaji watu wengine wawe marafiki!endapo una maisha yako na marafiki wapo... Nipo sana waungwana, ila nipo...
Mtaalam nimeingia. Nawasalimu wote wanajamii. Nasikitika nimechelewa sana kujiunga japo naingia katika mtandao huu mara nyingi sana! Mtaniona bila shaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.