Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Salaam wana JF. Naomba nitambulishe kwenu ndg
0 Reactions
13 Replies
2K Views
hodi humu ndani waungawana, natumai wote wazima, naombeni mnikaribushe tafadhali
0 Reactions
20 Replies
2K Views
jamani naitwa tikotiko! haya nihabarisheni yanayojiri humu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za humu ndani? nafurahi sana kwa kujiunga na jamii forum.. I hope kuwepo kwangu hapa nitajifunza mambo mengi na kufahamu mambo mengi pia... Ila sijaielewa forum moja hapa JF.. Forum hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba kupewa kigoda humu ndani
0 Reactions
1 Replies
768 Views
Mimi mgeni.. nmekuwa nafwatilia siku nyingi habari za humu ..lakini leo nmeamua kuingia. Nawashukuru
0 Reactions
3 Replies
1K Views
:frusty:jamani wazee wa jammiforum mi ndiyo nime ingia ukumbini hivyo naomba muni karibishe kwa mikono miwili. asanteni!!!!!!!!!!!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wana jamii nawasalimu mwenzenu ndio naingia. Nipokeeni niwe miongoni mwenu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari yenu. nawasalimu, ndio kwanza najiunga humu.
0 Reactions
2 Replies
827 Views
Nimefurahishwa na maada zinazo jadiliwa na nimeshindwa kujizuia kujiunga kwenu wakubwa kwani kuna mambo mengine yamefichwa wanao weza kuona ni member tu.Mpo juu wakubwa wote kwa ujumla
0 Reactions
5 Replies
1K Views
A great talker is a great liar, Actions have greater influence than words. IF I WERE OBLIGED TO SACRIFICE ONE OF THESE TWO THINGS; LIPS or LIMBS, I WOULD AFFORD TO LOSE THE FORMER THAN THE LATER...
0 Reactions
3 Replies
911 Views
Nina furaha kuungana nanyi tena. Tuko pamoja. Shukrani. Steve Dii
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Assalamu allaykum
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello wana JF, am a new member in da forum. hi to all.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakubwa nawasabahi, nimeingia ukumbini nipeni kigoda cha kukalia sio kagoda invest. Najulikana kama Nguruvi3 kwa wale wa paris a.k.a pare wanajua maana, hekima zimejaa ndani ya DNA zangu,nina...
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Mwazani Jina langu, desh desh mchumba wangu. Ndo naingia hivyo. Mtajiju!! Wapendwa, nikaribisheni tafadhali.
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Habari members wa JF, Nimesoma sehemu nyingi humu zimenifurahisha sana, ninafuraha kujiunga na kuwa mwanachama mwenzenu.
0 Reactions
3 Replies
958 Views
Hi,
Hello, evrybody out there! hoping u're doing great! Mimi niko very fine. We'll be together ktk uwanja huu ili kupeana changamoto mbalimbali. I believe, we'll share experiences concerning varied...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF? Nina furaha sana kujumuika nanyi kwenye hii forum.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kukaribia ukumbini.....
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom