Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi ni mzee wa manyafu ni muumini mkubwa na wa muda mrefu wa Jamii Forums. Here is where we dare to talk openly. Naomba sasa mniruhusu nami niingie ndani ya mjengo ili nipate nafasi ya kuchangia.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hi pple, wana join you here!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni-mwenyeji hapa. Nilijiunga mapema kidogo nikashindwa kubisha hodi kwa sababu ya mtandao hafifu. Natumaini tutashirikiana kudumisha uhuru wa mawazo nchini mwetu Ahsanteni
0 Reactions
17 Replies
2K Views
hodii humu ndani naomba ukaribisho wenu mie mgeni hapa
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Haloo Wana JF, poleni kwa mahangaiko ya maisha na pilika za utafutaji kwa ujumla.Mimi nimeona nisipitwe nahizi changamoto zinazotolewa kila siku na nisibaki kuwa msikilizaji bali nami niweze...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi ni muumini mkubwa na wa muda mrefu wa Jamii Forums. Nadiriki kusema kwamba kama mtu unataka kufikirisha ubongo wako kisiasa hapa ndiyo mahala pake. Naomba sasa mniruhusu nami niingie ndani ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello all the Jamii Forums members. I have just joined the forum and would like to say hello to you all. Multvilla
0 Reactions
4 Replies
819 Views
Salaam wanaJF, napenda kupiga hodi kwa jamvi hili maridadi la wanaharakati!!!! Ujumbe: “Sasa tunataka mtu anayetaka kuwa rais wetu ajiulize anataka kuifanyia nini nchi yetu na sio nchi yetu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mara nyingi nimekuwa nikishiriki katika JF kama guest. Leo nimeingia rasmi. Tushirikiane
0 Reactions
6 Replies
1K Views
yalaaaaaaaahhh!!! Huyu kanchunguliaaaaaaa.. Mbele hi hi nyuma hi hi
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hi wana JF Habari humu jamvini! mimi ndiyo kwanza nimejiunga humu ndani. Naomba ushirikiano wenu na ushauri inapobidi. Asanteni sana
0 Reactions
27 Replies
4K Views
hi there!!this is first time to appear on this forum,and jamii it seems to be of helpfully to me since i get chance to air my openion on matters regarding us.i have alot to say but since this is...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi mgeni wenu ndio kwanza nimejiunga jana japo nilikuwa nafatilia topic na mijadala kwa muda mrefu sana nikanogewa na kuona utamu wa ngoma uingie ucheze! nitafurahi kupokelewa vizuri,karibuni...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Hi Guys, This is Vuvu-Zela saying hi to you. I am pleased and honoured to be here hope to learn lots of staffs from you guys. Good Morning
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hodi! Mimi sio mgeni saaana hapa jamvini, ila nimechoka kukaa pembeni nikaamua kuwa mwanachama hai. Nimesoma posts zenu na kuona wingi wa busara na hekina zilizomo hapa, nawapa BIG UP wote walio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kuwa mtazamaji kwa kipindi kirefu kidogo, nimeona muda wa kubaki kama mtazamaji umetosha sasa. Nimeamua kujongea jamvini hapa JF ili niweze kushiriki vema mijadala mbalimbali nanyi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanajf niliwamiss sana baada ya kuwa tanganyika kwa mwezi hivi nikiwa na kazi ya kuvuta jiko huko ta, sasa niko Tanzania ndio maana niko hewani. Nimekosa mambo kibao ila tuko pamoja sasa. Siku njema
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimejiunga na JF kimsingi napenda sana kuchat pia kushauri. Nimatumaini yangu kuwa tutashirikiana vizuri. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
868 Views
Wanajamii Mpo? Mpo ndio. Nami nimechoka kuambulia kiduchu katika anga za jamii forum na nimeonelea bora nijiunge kikamilifu na leo najitambulisha.
0 Reactions
1 Replies
811 Views
jamani hamjambo humu,mm ni mgeni lakini naona kuna mistari mikali kweli.Tuko pamoja lakini lazima ni face challenges.
0 Reactions
2 Replies
903 Views
Back
Top Bottom