Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wakuu upepo wa mageuzi ndo umeshanisukumia barazani ninapoanza mwaka mpya wa 2010. Bais nawatakieni kila la heri na fanaka katika mwaka huu na haswa kutimia kwa ndoto zenu kuu (na zangu pia) kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hello jf members,I wish u a happy new yr in advance
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hi everyone Am a new member in Jamii Forum. Hope to share good moments 2gether. Kila la heri 2010
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF wenzangu! ninaitwa Nsajigwa napenda kujitambulisha kwenu kama mwanachama mpya. Napenda kubadilishana mawazo,tafadhari tupeane ujumbe wa aina mbalimbali.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani mie ni mgeni mwenyeji, kwani ni siku nyingi nilikuwa mfuatiliaji wa mtandao huu lakini mwenzenu nilikuwa sijaamua kujiunga kutokana na kuzidiwa na masomo, nilikuwa bado nakariri ujinga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi to everyone. I write you from far far away- from Armenia. I came to this forum because I need to find where this phrase is from "To be able to do everything by knowing nothing is dangerous"...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
heshima yenu wakuu.baada ya kuwa mzururaji humu kwa muda mrefu nikaona na mimi nijiunge.nipokeeni basi jameni,makofi tafadhali!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu WanajamiiForum, hamjambo? Mimi ni mgeni hapa, sana. Siku ya leo, Jumamosi 26 Desemba, 2009, ni siku yangu ya kumi (10) tu. Kwa hiyo bado sina hakika kama ninalotaka kuuliza linaulizika au...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Its just to say hello to all members of this forum coz its my first time. nawapenda wote, nitashukuru mkinikaribisha kwa nguvu zote. Ahsanteni sana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefurahi sana kujiunga na JF na ninatumai itanipa uelimisho wa kina na dhati kuhusu masuala ya kimaendeleo Tanzania. Pia nitapata nafasi ya kubalishana mawazo na wanaJF kwa yale ambayo nitaweza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajamii. ingawa nimejiunga kitambo kidogo, lakini samahanini niliingia bila hodi. unajua ni nini? nilishindwa kupiga hodi (ku-post thready) siku ya 1. si unajua tena kuku mgeni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hi
i like cricket....... I like indian cricket team players sachin, Dhoni, and sehwag now..........
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi folks! I have been reading your inputs and thought it is time to join this forum. You are all great! I hereby wish Peace as your gift at Christmas and blessing all Year 2010 through...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi members, my name is Sylvia and I am glad to be a member of the forum.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
hi..have been enjoying the jf articles for quite sometymz so i think its time to officially join in the club....hello everyone....
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nawasalimu nyote kwa unyenyekevu. Nimejiunga kujifunza na kuchangia kadiri ya weledi na ujuzi wangu. Na kubwa zaidi, natafuta wabia wa kujiunga nami katika biashara huru ya kimataifa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi Jamii Forum Members! Im hapy to join the team today,hopping that we will share valuable ideas together.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
sio mchezo wazee ndiyo naingia kwenye uwanja wa kuchakatua mamabo
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mambo wanakijiji? Niliingia kijijini nikapewa ufungua tahamaki hamad ufunguo siuoni imenichukua busara kupata ufunguo huu sasa nadhani naweza kuingia na kutoka jamaa wamenipatia spea. tutaonana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hi ma friend of JF am new member!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom