Nimechoka kuangalia humu kimiakimia sasa nabisha hodi kabisaaaaaaaaaaa naomba mnikaribishe! Kama kawaida hiki ni kikaango hakichagui mboga, twende kazi.
naomba kukaribishwa humu jamvini, nimekuwa mshiriki mzuri wa hii forum kwa kusoma tuu na wala sikuweza kuchangia chochote. natumaini nami nitkuwa mmoja wa wachangiaji.
be blessed
Hi everybody out there! It's great to be amid great thinkers! Been visiting Jf for quite a long time. Being tired of remaining on the sidelines, have now decided to jump into the pitch with both...
habari zenu wanajamvi wenzangu. well ndo hivyo tena mi ni mgeni humu na minaomba ushirikiano wenu ili tuendeleze gurudumu hili la MAPAMBANO, well you heard me right mi ni mwanamapambano na nimekua...
Ndg zangu, heshima kwenu wote...
Nilikuwa member kwa muda hapo nyuma, wakati nyumba yetu ikiwa jambo forum, then nikapotea kwa muda kutokana na shughuli za kila siku.
leo nimepata muda, naomba...
A VERY INTERESTING CONVERSATION
An Atheist Professor of Philosophy was speaking to his Class on the Problem Science has
with GOD, the ALMIGHTY. He asked one of his New Christian Students...
Salaam kwenu wote.
Nimekuwa nikifatilia kwa muda mrefu posts mbalimbali na sasa nimeshawishika kujiunga ili nami niweze kutoa mchango wangu.
Naanimi yote yanayo ripotiwa humu huwa yana leta...
Am glad to be here. Hope to learn a lot and also contribute something.
Our land needs a new direction and a new way of thinking and doing things. We have trusted a few far too long and they have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.