Hallo my people
A number of friends told me about this forum but i never took much interest, just a two days ago, another good friend really encouraged me to join. Here I am, Im happy to be here...
Habari Wana JamiiForums,
Mimi ni mgeni. Napiga hodi. Nimekuja kushirki "Where we dare talk openly". Napenda kutoa mchango wa Mawazo na kupata mawazo mapya.
Asanteni
Nafurahi tena kupata wasaa huu kuwasalimu waJF wote pamoja na kuwashukuru kwa michango yao wakati wa sakata lile la ukombozi pale Peacock Hotel.Kwa sasa hivi niko nchini Uturuki...
HIIIIIIIIIIIIIIIII
Am new to the blog so am inviting u to join me and share ideas.
AM a medical doctor lets share the health as well as political news
Tchao
Hi!
Tupo (tuko) pamoja sasa! Hivi leo ni tarehe 09-09-09 ndo maana usrname yangu ni 'tripo9'. Tarehe km hii zimebaki tatu tu in the history of mankind, yaan 10-10-10(mwakani), 11-11-11...
Hello wana jamvi, kwanza nawasalimu sana, amani na iwe juu yenu. Mimi si mgeni sana hapa jamvini nilikuwepo ila na nilijulikna kama " kitoto", sasa kutokana na sababu zilizo nje kabisa ya uwezo...
MFANYAKAZI(NURSE MIDWIFE ANAYESTAAFU AKIWA NA MSHAHARA ALIOANZIA KAZI) Hivi unaweza kutaja nini kiashirio cha uwepo wa TALGWU katika halmashauri fulani? nikimaanisha uwepo wa chochote kwa kuona au...
Mhhh! atlast sasa nimeingia rasmi after a long scrutiny! Marahaba wadau, nipo laivu kuanzia sasa jamvini! Napenda mambo yote na chukia vyote. Muendelee kuwepo tupate!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.