I have been reading Jamii Forum the home of great thinkers for a while. I would like to post starting with my light touches of likes like quatations, jokes and meditations. So do read me when...
Ombi maalum kwako mheshimiwa Moderator weka option ya kuweka jinsia kwenye profile
mambo ya kuulizana wewe ni serengeti boys -Or twiga stars inaleta balaa
Me/Ke
Male/Female
ni mtizamo tu...
Hello members of JF lets love each other kama mikono,kwani mikono hupendana angalia unapoosha mikono kila mmoja humuosha mwenzie,basi nasi tuige mfano huo.
Hi Guys
Greetings to all of you at Jammiiforums. I love you guys with cool taste of E.A Music. I enyoy listening to some fantastic E.A. music, On Jammiiforums, here at Rhodes University. Keep...
habari wadau,
nimejiunga na JF kwani nilifurahishwa na mada mbalimbali zinazojadiliwa humu ndani kwani nineshanufaika na naamini nitaendelea kunufaika kwa mengi pamoja na kutoa hoja zangu...
Asante JF na wadau wake wote kwa michango na mada nzito nzito zinazogusa jamii yetu ya Kitanzania. ndio maana nimevutiwa sana kujiunga na JF. nawapenda wote!!
Jamani mi naomba kuingia katika forum hii kwa manufaa ambayo nayategemea,kujifunza,kufundisha kukosoa,kukosolewa,kujitangaza kibiashara na mengine mengi tu,,,,HODI!!
Ninafuraha sana mimi pia kuwa mwanafamiliya ya WanaJAMII,naombeni mnipokee jamani.
Nimekuwa nikisoma makala na maoni mbalimbali kupitia safu hii,HONGERENI NA AHSANTENI SANA KWA WOTE mnaotoa...
I do hope it's all cool out there to each n every community member of this forum..i am a new member by the name of Joanna Lyimo studying my bachelor in pharmacy in India..it's great being here as...
What's a great page is this?
I hope you are all mentally, phyisically, economicallyand socially healthy!
It is my first time to post this intro to you, for short time that I click on this page I...
Asalaam Alekyum waungwana wote wa baraza hili maridhawa kabisa.Naomba kubisha hodi kwa mlango wa nyuma ili nijumuike nanyi katika kuperuzi na kudadisi mambo yanayojiri katika dunia yetu.
Naomba...
Habari zenu wana JF, Mimi naitwa Kilimi W. Shilemi, naomba kujiunga na house of Great thinkers,ili nami niweze kile kidogo nilichoficha kwenye ubongo wangu!
Nashukuru japo hamjanijibu
Wanajumuia JF,
Katika udadisi wa binafsi wakutaka kufahamu jinsi mtandao ulivyopanuka, nikajikuta nimetua katika site hii, na mimi nimefika. Nipokeeni kama waleeee!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.