mambo vipi?
mi mmarekani, naishi nyc lakini nakupenda sana Tanzania. Nategemea nitaweza kutumia mtandao huu kwa kubadilisha mawazo na kuboresha kiswahili changu.
Hi vita ya mafisadi nini hasa mwisho wake, wana JF mniambie.
Ninavyoona mimi;
Kila mtu akusudie jema kwa taifa letu, tubadilike kuanzia mtazamo wetu wa utajiri wa harakaharaka na tutafika...
hayaaaa...
Niite Davie, nimeamua kujiunga rasmi baada ya kuperuuuuz kwa muda sasa..!
Nalikubali Jamvi linaendeshwa na watu makini wenye hoja makini. Nikaribisheni wazeiya..
This is adams001. I welcome you all. I feel happy to see many fiends here. I joined this forum to tell the about the brain exercise and chocolates which boost up our brain.
Brainhealthandpuzzles...
Hello My people nimefurahia kuona hii Forum Pekee yaki Tanzania!
mimi ni Mtanzania.
My name(jina):Khalid Salim
I live :in Dares Salaam
Nina miaka:18
Ninapenda na kujua mambo mengi ya software and...
naitwa lovulovu, mkazi wa jijini, mpagani kwa dini au kwa lugha rahisi kafiri. nimefurahia sana mtandao huu nami naomba mnikaribishe tuungane tuweze kubadilishana mawazo hasa hili la kutaka eti...
kanisa katoliki laipa shavu serikali ya JK
JK akiwa na Askofu Norbert Mtenga na Naibu Waziri wa Miundombinu Dk Milton Mahanga na msafara wa baba Askofu Mtenga leo Ikulu jijini Dar
Na...
kanisa katoliki laipa shavu serikali ya JK
JK akiwa na Askofu Norbert Mtenga na Naibu Waziri wa Miundombinu Dk Milton Mahanga na msafara wa baba Askofu Mtenga leo Ikulu jijini Dar
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.