Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimefurahi kuona forum hio na ninaomba kuingia, hata kama bado sijajua kiswahili kabisa. Sasa hivi niko mbali kidogo ya tanzania ila moyo yangu inakaa kule. Ntafurahi kupata nafasi kukuta watu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi every body,ndio naingia,aona mada ni motomoto.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello, jamii Am part of the Forumsssssssssss :rolleyes:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I salute all of you members of this great thinker's site, i'm profound humbled to be a member among you. i envision to my membership will be worthwhile, and i am looking forward to add contribute...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ningependa kutumia fursa hii kushirikiana na watanzania wote popote mlipo katika kupeana mawazo na kutatua matatizo hasa yale yanayohusiana na Computer, Communication nk.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hope you are all well,just got in as a new member and I have been very excited with all that is going on in this forum, I do wish my sincere regards to all members of JF. Lets push on.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambo vipi guys!! Nimejua na jamii forum baada ya kuona kuna topics zilizotulia na comment nzuri zenye manufaa kwa jamii. mwana jamii mwenzenu Birmingham-UK
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu wenye uchungu na "nji" hii...yaani mambo yamekuwa mengi sana hapa mjini ila nimekuwa nikisoma sana daily ma-updates yanayotumwa straight kwenye e-mail yangu lakini mchango wangu umekuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello wanaJF wote. Nami nimeingia na nina hasira kidogo kwa wale wote wanaoididimiza nchi hii. Kwa hivyo nitakuwa sina mchezo hata kidogo -- naomba ushirikiano. hasa nawataka wale wanafiki --...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naskia pouwa sana kujiunga na JF, naitwa Msilu Jr, hodi hodi JF members...!:)
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimeamua kujiunga na jamii forum. Baadhi ya utambulisho wangu, 1. Sipendi matusi 2. Napenda mada zenye kuheshimu watu 3 Mimi ni mtetezi wa wanawake. 4. Napenda Injili na nyimbo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Am kiruke cha ibwe. Nafurahi kujiunga na jukwaa hili la great thinkers. Am sure I will learn alot from you guys. Nipokeeni jamani.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
mimi kama mnavyonisoma hapo naitwa Peter Mtemiwao......nipo kanda ya ziwa(mwanza) nimefurahishwa na michango yenu waheshimiwa wanajamii........Nikaribisheni tuendeleze libeneke cheers
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa muda nimekuwa nafaidika na mawazo na mchango wenu..asanteni. Naomba kujiunga nanyi iwapo mtanipokea.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Thanks for the stage but, I want my vote Back! Let's support these Iranians, they need our backing. Kikwete represented us when we backed our friends in Kenya, let's do this together! WHERE IS MY...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hodi ndugu zangu, nikaribie mpaka wapi???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani hivi nyie vipi wasela?? mbona naingia halafu sikaribishwi??? Nitasusa mimi au mnabisha????? Kama hamjambo hiyo hainihusu ila nawasalimia tu kwa jina la Amani na Upendo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi everyone! I've finally decided to be a member,after reading very good Topics and Comments as a Guest.Hope you welcome me into your group.Tks.:D
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu zangu wote hamjambo humu ndani? Najiunga rasmi kundini, lakini mimi niko tofauti kidogo kwani "ntabase" kwenye jinsi JF itakavyotunisha kamfuko kangu, nimeona kuna resources kibao humu na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimekuwa nikisoma jamiiforums kwa muda mfupi sasa na kugundua kuwa nimejifunza mengi kwa kipindi hiki kifupi. Kwa misingi hii nimeonelea ni vyema nikajiunga rasmi na Jamvi hili baada ya kuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom