Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi JF! Najifunza kutembea nikipasua vyombo msishangae. Kichanga hachapwi. HODI Wana JF! Eti kuna Changu-utumishi badala ya Changudoa?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hodi wana jf naombeni mnipokee
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hi wanajamii, wakubwa shkamoo ,wadogo marahaba,nimejiunga nanyi rasmi .
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa wapenda nchi naomba kuingia jamvini, nawaletea salamu nyingi sana toka Porini..........
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana Jamiiforum, Nimeamua kuja kuishi hapa. Nimekuja na salamu nyingi saana kutoka Gairo. Gairo wanasema wanawapata. Najua nimeshakaribishwa
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa la JF. The forum seems to be very educative and entertaining. I've been following the topics in here for quite some time now,nimeamua kujiunga ili niwe sehemu ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naitwa Nakilo, nafurahi hatimaye kujuinga na JF, mambo mengi yanajadiliwa humu.
0 Reactions
1 Replies
971 Views
wajumbe wa jamiiforums assalam aleykum,nimeamuwa kujiunga na jamiiforums niweze kujuwa nini kinatokezea na mimi niwe mmoja niweze kutoa mchango wangu,nakummbeni mnikaribishe. pharow
0 Reactions
1 Replies
831 Views
Mi msichana toka Ugerman, nasoma udaktari. nafurahi kuwa nimekuta JF. Natamani mnanipa nafasi ya kuboresha kiswahili yangu. Kwa hiyo kama labda nakosa grammar msichukie.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekuwa mpenzi wa hili jamvi,na leo nimeamua kupiga hodi nikaribishwe kikaoni badala ya kuwa mshuhudiaji kwa mbali.natumaini kupokelewa na kujifunza mengi toka kwenu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mgosi says hi ! with much respect to you guys.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Penye wengi kuna mambo, ndugu zanguni nimetinga naomba mnipokee. 'The whole is greater than the sum of its parts'
0 Reactions
3 Replies
972 Views
hellow wanajamii, nikaribisheni ili tuwe pamoja katika kuchangia mawazo yatakayoijenga jamii na nchi yetu kwa ujumla. UKIMWI ni hatari, so take care!!!
0 Reactions
2 Replies
934 Views
wana JF, hodi wa jameni naomba mnikaribishe tafaaaaazali!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu,Waungwana hodi hodi jamvini,mimi sugar wa ukweli naombeni mnipokee
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tanzanians and JF Members, I have been and always will have interest of my country at heart. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania. I am a Conservative with liberal views and would like...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, kwa muda sasa nimekuwa nikipitia mtandao huu na kweli nikiri kwamba nimejifunza mengi. Sijaona mahali pengine ambapo kwa nafasi yangu naweza kukutana na watu aina tofauti na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu mlio hapa JF, nimelisoma jukwaa kwa takribani mwezi mmoja na nimefaidika na mengi hivyo ahsanteni sana kwa hilo, nami nimeonelea nijiunge ili nipate kuchangia yangu niliyoojaliwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natumaini wanajamii hamjambo, vile vile ninaamini nimekaribishwa pamoja kwamba nimeisha ingia ndio natoa taarifa. Mtarijie kuona sasa mambo mengi toka kwa Ona Sasa Asenteni sana kwa ukarimu wenu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF, Napenda kuwapongeza wote kwa kazi nzuri na michango mingi yenye kujenga. Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana. Nimeona nijiunge nanyi ili niweze kuchangia. Siko anony...ni mwandishi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom