Mara baada ya kujifunza na kufuatilia makala za wanachama Kwa mda mrefu bila kua mwanachama leo nimejiunga Rasmi naombeni ushirikiano wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu,mie naitwa wakala wa majini,na huu ndio mwanzo wangu kujiunga na jf ijapo kuwa nimekuwa nikifuatilia kwa umakini thread zote za jf,katika forum zote,kama forum ya...
Baada ya kuwa mpitiaji wa makala na msomaji hata nikitafuta kitu google majibu mengi hutoka humu,na baadaye nikabaini humu ni kuzuri kweli,sasa ni rasmi nimejiunga nanyi naomba ushirikiano wenu...
Habari zenu humu ndani, baada ya muda mrefu sana kuangaika na namna ya kuweza kujiunga na Jamii Forums hatimae leo nimeweza. Hii ilikuwa ni ndoto yangu ya siku nyingi sana na Mimi nije siku moja...
Hellow guys, baada ya kuwa msomaji nisiye rasmi sasa nimeamua kujiunga nami Jf ,mnipokee ,na mniongoze vyema nawapenda ..
Jinsia yangu ni KE"
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakongwe
Mimi ni mgeni humu naomba mnikaribishe, ni muda mrefu nimekuwa nikiingia na kusoma mada tofauti tofauti lakini leo nimefanikiwa kujiunga rasmi, naombeni ushirikiano wenu wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.