Hello friends,
My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old.
I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay.
Thanks.
--------------
Karibu sana JF mkuu Anna Maria...
Hello,
habarini wanna jamii Forum alhamdulillah Leo nimepata kuwepo humu ndani maana tangu mwaka 2016 kila nikijiregister ilikuwa inafell, so 2we Pamoja members
Sent using Jamii Forums mobile app
its me agaaain, king of the kings! jungle master! a.k.a the ICON, ni comrade kipepe once again!
Ohhooo ebannaaee comrade nimekuja kuwashukuru members wote kwa kunikaribisha jf, mmekua watu...
Habarini waungwana,
Napenda kuwashukuru walionifungia tangu 2017 na kufunguliwa 2018 February kisha kufungiwa hadi leo kuweza kuandika chochote hapa jukwaani.
Kiukweli nilishi km nipo nyikani...
Habari za jumapili wanaJF....
Mimi ni memba mpya nimejiunga humu rasmi baada ya kuwa guest visitor kwa muda mrefu.
Naomba ushirikiano wenu kwa mawazo na ushauri pia. Natanguliza shukrani...
Kama kichwa kinavyo jieleza Mimi no member mpya kabisa hivyo nahitaji mapokezi Kama ilivyo ada kwa wageni
Loading........
Kwa ushauri
Maoni
Tahadhari nk nk
Mnikaribishe jamvini
Nawasilisha...