Yaan kama kawa kama kawiz...kama kala mbwanda kama mbwai mbwai tuu unaambiwa wadau mambo ajee, wakubwa shikamoo wadau wote mnaombwa mnipokee msela wenu, nimetimba jf kwa ajili ya kukiwasha tuu...
Wana jamvi habari zenu wote, naombeni ridhaa yenu wote nijumuike nanyi katika jukumu ili la ujenzi wa taifa changa kongwe la tanzania lenye umri wa takribani miaka 50.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.