hi! kwa majina naitwa Calvin de Charzy(C.d.C). naishi mkoa wa Arusha Tz. pia ni mjasiriamali mdogo.ni miaka isiyo pungua 21. tutajua zaidi tukiendelea kuwepo humu ahsanten! i need ur support..
Habari za hapa JF mabibi na mabwana..mimi ni mgeni niliyefika hapa miaka mingi iliyopita pasipo kujitambulisha (Mlowezi), naomba kibali niendelee kuishi hapa kwa sababu nimepaelewa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.