Mimi mwenyewe sina uhakika na jina langu ila najihisi ni mgeni ambaye ni mwenyeji wa JF Leo najitambulisha kwenu.Asante kwa kupita hapa nifungulie mlango Jonah Hill Yay GIF - JonahHill Yay...
Naitwa msekule, ninaitaji kwenda africa ya kusini kutafta maisha, lakini kule sina ndugu wala rafiki.
Kwa yeyote humu kama yupo uko anisaidie kunistili kwa muda hadi pale nitakapo pata kibarua.
Nchi yoyote ile duniani hutegeme wafanyabishara kulipa kodi ili kuborsha baazi ya huduma za kijamii
Wilaya ya kilombero inachangia pato la taiga kwa mwaka kutokana na vyanzo vyake vyake vya mapato...
Naitwa bi khadija. Nimejiunga muda kidogo JF lakini nikajikuta napendelea kwanza kufahamu wahusika wa humu na mambo ya humu.
Nmefanikiwa kuwafahamu watu kadhaa hasa nikivutiwa na uandishi mzuri...
Wakuu mimi ni mgeni JF nimekuwa na Ndoto za kutumia huu mtandao toka zamani sana sasa nimeingia naona unanishinda kutumia msaada wenu jamani [emoji26][emoji26]