KWELI Threads

  • Article Article
Mwananchi Digital imeripoti kuwa katika bandari ya Dar es Salaam kuna malori (magari makubwa ya mizigo) yamekwama kwa siku kadhaa hivyo kusababisha madereva wa maroli kulala na kuamka hapo hadi...
0 Reactions
0 Replies
424 Views
  • Article Article
TRA Wamekanusha Taarifa zilizoandikwa JamiiForums zilizodai Mtandao wao kusumbua. Wamesema ni taarifa ya Uongo na Uzushi. Kwani imelenga kupotosha na kuleta taharuki miongoni mwa Walipa Kodi...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
  • Article Article
Hayawi Hayawi sasa yamekuwa, ilianza kama kamchezo kakuigiza kutokupeana support za kupostiana kati ya Rayvan na wasanii wenzake wawasafi lakini utetezi ukawa mwingi, Ikafuata mama yake Boss wa...
0 Reactions
0 Replies
424 Views
  • Article Article
Chama cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa...
0 Reactions
0 Replies
457 Views
  • Article Article
Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia kwenye Jumatatu hii ya Pasaka , Kwamba Mheshimiwa Juma Raibu aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro , kabla ya kung'olewa hivi karibuni , ameanza...
0 Reactions
0 Replies
353 Views
  • Article Article
Wasafiri wa maeneo mbalimbali wameripoti nauli za mabasi kwenda mikoani kupanda.
0 Reactions
0 Replies
892 Views
  • Article Article
Zimesambaa picha za Darasa chakavu lililojengwa kwa udongo katika mitandao mbalimbali. Baadhi ya wanaharakati wakidai kuwa darasa hilo ni la Shule ya msingi Litingi, kijiji cha Litingi, kata ya...
0 Reactions
0 Replies
500 Views
  • Article Article
Inadaiwa kuwa kijana Isaac Mnurwa amekamatwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma zinazodaiwa ni kusambaza video ya Rais Samia akiwa na Peter Greenberg. Tunaomba kufahamu ukweli wa taarifa hii.
0 Reactions
0 Replies
578 Views
  • Article Article
Tetesi toka kwa Ming-Chi Kuwa kuanzia 2023 Apple ataanza kutumia USB type C. Inawezekana ikawa ni shinikizo toka jumuiya ya Ulaya ikitaka makampuni yote ya simu yatumie standard moja ya kucharge.
0 Reactions
0 Replies
558 Views
  • Article Article
Inasikitisha sana tunapoona viongozi waandamizi wa nchi hasa wabunge wakikubali kununua cheap doctorates kutoka vyuo vya kitapeli (rogue colleges). Hiyo inakupa picha kwamba hawa viongozi wetu...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
  • Article Article
Baadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa. Kwa utafiti wangu usio rasmi wa kuwapigia watumishi wa Halmashauri tofauti...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyozua Maswali mengi na Taharuki ya Kiusalama Kawe ni kwamba Kijana Mmoja Dereva Bodaboda amejikuta matatani baada ya kutumwa kupeleka Barua yenye Ujumbe wa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Inasemekana kuwa Serikali ya Tanzania inapanga kununua ndege zenye thamani za trilioni 1.7 za kitanzania. Ukweli wa taarifa hii upoje?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Inaaminika kuwa bangi inaweza kutibu aina mbalimbali za saratani mwilini, na baadhi ya watu huitumia wakiwa na imani hiyo. Tunataka kufahamu ukweli wa jambo hili, pamoja na uthibitisho wake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Inadaiwa Klabu ya Manchester City imeongeza jitihada za kutaka kumsajili nyota wa Klabu ya Arsenal na timu ya Taifa ya England, Bukayo Saka.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Ulivyo Soma ni sahihi kabisa wala hujakosea. Ndo habari ya mjini, zile nyumba zote zilizopo kwenye mountain inabidi zitoke jamaa wa Brazil aje ajenge na Familia yake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Juni 24, 2022 watu 23 wa Afrika Kaskazini waliripotiwa kufariki kwa ghasia zilizokuwa zinaendelea katika Mji wa Spain, Melilla ambao upo kwenye pembe ya Afrika Kaskazini na imepakana na Morocco...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom