KWELI Threads

  • Article Article
Nimepokea hivi karibuni voice note kutoka kwa Mtanzania anayeishi Afrika Kusini. Sauti hiyo ya Dudula Master ambaye ni mhamasishaji mkubwa wa Xhenophobia ametoa onyo dhidi ya wageni wote kuondoka...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
  • Article Article
Salaam ndugu zangu, Nimekutana na mijadala kwenye mitandao mbalimbali ikidai bwana Omari Mapuri aliyeteuliwa jana 29/06/2023 amewahi kushika cheo cha uenezi ndani ya CCM huku wengine wakidai...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Mkoa wa Iringa umekumbwa na sintofahamu kubwa baada ya kuenea kwa taarifa zinazodai kuwa baadhi ya Vijiji vya kwenye Mkoa huo vimevamiwa na Simba wanaokula mifugo na kushambulia watu. Baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
  • Article Article
Tanzania imeingia mkataba na Falme za Kiarabu kuzalisha Umeme jadilifu megawatt 2000. Kukamilika kwa miradi hii kutapelekea Bei ya Umeme kupungua sana.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa kula chakula kingi wakati wa usiku pamoja na kulala chali huongeza nafasi ya kukabwa na majinamizi shingoni?
4 Reactions
15 Replies
3K Views
  • Article Article
Maji ya nazi (Madafu) ni kinywaji maarufu sana mtaani. Ni maji hanayopatikana kwenye nazi changa (Cocos nucifera) ambayo hubadilika kuwa tui baada ya kukomaa kwa nazi. Kumekuwepo na madai kuwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Urusi yaanza mazoezi ya kutumia makombora ya nyuklia ni saa chache baada USA kukubali kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Article Article
Je, ni kweli maji ya mlima Meru husababisha meno ya watu wa Arusha kuwa meusi kwasababu ya kuwa na asili ya Volkano?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa nyama nyekundu ya mifugo kama ng'ombe, mbuzi na kondoo humletea matatizo mgonjwa wa kisukari?
2 Reactions
6 Replies
3K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa jokofu likiwa 'switched on' huku milango yake ikiwa wazi, hupelekea kuharibika ndani ya muda mfupi wa matumizi?
2 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Hii imekaa vipi kitaalam, Msichana mwenye Haemophilia anaweza kufariki dunia pale anavunja ungo?
2 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Hivi malaria inaweza kusababisha kuona mauza uza na kuota ndoto za ajabu? Yaani ndoto za kutisha na kuwa na wasiwasi uliopitiliza Pia mauza uza hasa ya kukabwa shingo, chumba kuwaka moto n.k...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa teknolojia ya electroneurone inaweza kupangiliwa kwa vifaa maalumu ili kumfanya mtu kuhisi amewahi kuwa sehemu hiyo kabla, na watu wale wale huku akizungumza maneno yaleyale...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Naomba kufahamishwa ukweli, nimekuwa nasikia mitaani kuwa ulaji wa mboga za majani aina ya Kabichi siyo mzuri kwa afya kwa watu wenye ugonjwa wa Goita. Mimi kama mdau wa mboga za majani huwa...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa ung'oaji wa magego (Meno ya kutafunia) ya juu usiozingatia utaalam huweza kupelekea upofu au kifo kwa asilimia kubwa?
2 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Ushiriki wa mazoezi ni jambo muhimu kwa afya. Husaidia kuongeza utimamu wa mwili pamoja na kuupa kinga ya kutosha dhidi ya magonjwa, hasa yale yasiyoambukizwa kama kisukari, shinikizo kubwa la...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Article Article
Taarifa ya kusikitisha kidogo kutoka Kata ya Mwana-Mutombo Kijiji cha Mwasinasi Tarafa ya Nkololo Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu, Diwani kwa jina la Rambo Kidiga anatuhumiwa kuozesha wanafunzi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Article Article
Mdau wa JamiiForums ametoa hoja yake kuwa watu wanaokula dagaa hupata faida kubwa zaidi kuliko wale wanaokula samaki wakubwa. Amedai kuwa tofauti na samaki wakubwa, mtu anayekula dagaa anakula...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Article Article
Mdau mmoja wa JamiiForums ameelezea kuwa watu wanaokunywa pombe kupita kiasi (Ulevi uliopindukia) wakiacha ghafla matumizi ya pombe wanaweza kufa. Mdau huyu anaeleza kuwa pombe hupunguza...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Article Article
Zipo taarifa zinadai kuwa Jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Aidha inadaiwa Jeshi la Tanzania...
15 Reactions
80 Replies
16K Views
Back
Top Bottom