KWELI Threads

  • Article Article
Imekuwa ikinitoea mara kwa mara kila nikila nanasi na kisha kunywa maji nahisi uchungu mdomoni, Je hii ni kwangu tu au watu wote mnapata hali kama hii? Kama ni wote, Kwanini baada ya kumaliza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Nimekuwa nikisikia na kusoma machapisho ya watu kuwa asali haihairbiki kabisa, je ni kweli? Na kwa ninihaiharibiki?
1 Reactions
3 Replies
890 Views
  • Article Article
JamiiCheck imefuatilia hotuba iliyotolewa na Stephen Wasira akiwa kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa mkoani Mwanza tarehe 26-11-2024 ambapo mbali na mambo mengine alisema...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
  • Article Article
Salaam wakuu, Leo nimekutana na hiikuhusu jua naomba kupata uhalisia wake. Je ni kweli kwamba jua lina rangi nyeupe ilihali asubuhi tunaweza kuona rangi kama ya njano, chungwa, nyekundu na kadhalika.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Article Article
Salaam wana JamiiCheck Hii picha inanipa ukakasi kuitofautisha kama imetengenezwa na Akili mnemba au ni ya kweli, wataalamu wa masuala haya naomba msaada wa kupata uhalisia wa picha hii tafadhali.
5 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Article Article
Wakuu katika pitapita zangu huko mitandaoni leo nimekutana na hii video ambayo inasemekana kuwa ni ya Uganda na mwanamke mmoja anaonekana kumpiga kofi polisi, je kuna uhalia upi hapa wakuu?
0 Reactions
0 Replies
845 Views
  • Article Article
Nimewahi kusikia kuwa kuna chemchemi zinazotoa maji ya moto je, nini chanzo chake? Msaada wadau
0 Reactions
0 Replies
988 Views
  • Article Article
Inasemekana kuwa Emmanuel Nwude, mmoja wa matapeli maarufu zaidi katika historia ya uhalifu wa kifedha nchini Nigeria ambaye kati ya miaka ya 1995 na 1998, aliwahi kumuuzia mtu uwanja wa ndege wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimekutana na stori inadaiwa kuna Mbwa wa Urusi anayeitwa Laika ndiye kiumbe hai wa kwanza kusafiri nje ya dunia? Kuna ukweli kuhusu historia hii?
0 Reactions
2 Replies
727 Views
  • Article Article
Wakuu naomba kufahamu uhalisia wa hii video nimeona ikipostiwa mtandaoni kuwa ni wezi wanachomwa huko Arusha
0 Reactions
0 Replies
581 Views
  • Article Article
Wakuu hii imekaaje aisee? Isije tukauma Watoto wa watu huko mtaani wakafia ghetto au kupata Stroke ile yenyewe sio stroke ya yale mambo?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Nimekuwa ni mtumiaji wa panadol katika kusafisha pasi yangu inapochafuka, lakini nimepigwa na butwaa na kupata wasiwasi baada ya kukutana na post mtandaoni kuwa matumizi hayo ya panadol ni hatari...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
  • Article Article
Kuna watu nimewahi kuwasikia kuwa eti kuna miema inakula nyama, je kuna ukweli wowote katika hili?
4 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimekutana na hii video jamaa akielezea kuwa ulaji wa maembe na maganda yake ni tiba ya asili ya Bawasiri. Msimu wa maembe ndio huu, kabla sijaenda nunua lumbesa ya maembe naomba kupata uhalisia...
0 Reactions
1 Replies
558 Views
  • Article Article
Nimekuwa nikisikia watu wakisema usicheze na paka au usikae naye karibu utapata pumu, je hii ni kweli?
0 Reactions
2 Replies
752 Views
  • Article Article
Wakuu salaaam Hivi hii video ni ya kweli au wanatupiga hapa, hiyo gari inaweza kweli kupanda mlima mkali kama huu
0 Reactions
7 Replies
929 Views
  • Article Article
Nimesikia kuwa Pweza ana mioyo mitatu ambayo inafanya kazi tofauti tofauti, pia ana bongo 9, kuna ukweli hapo Wakuu?
2 Reactions
1 Replies
886 Views
  • Article Article
Natumaini mko njema kabisa,katika pita pita zangu kwenye makitaba za kimataifa nimekutana na hii kwamba mtu alie vumbua ndege wakwanza kabisa ni mwafrika amerika 1906 alikuwa anaitwa Charles...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom