KWELI Threads

  • Article Article
Kuna ukweli gani kuhusu vinywaji vya Energy Drink kusababisha Madhara kwenye Figo?
3 Reactions
15 Replies
9K Views
  • Article Article
Hivi kemikali aina ya ethylene hutumika katika kuivisha ndizi? Na vipi kwenye masoko ya Dar es salaam inatumika?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Article Article
Je ni kweli Kijiji cha Monowi huko Marekani kina mkazi mmoja?
6 Reactions
24 Replies
2K Views
  • Article Article
Salaam Wakuu, Nimekutana na stori mtaani zinadai kwamba mnamo mwaka 1990 Bondia Maarufu Muhamedi Ali alienda nchini Iraq kuzungumza na rais wa nchi hiyo wakati huo Sadam Hussein kuwaachia mateka...
7 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Article Article
Habari Wakuu, Nimekutana na video hii TikTok inayodai hii pande kubwa la theluji lipo Mlima Kilimanjaro na lilikuja kutokana na mabadiliko ya Tabianchi. Kuna ukweli hapa? Naombeni mtusaidie ---
0 Reactions
0 Replies
836 Views
  • Article Article
Wakuu, Nimekutana na video huko duniani, kahawa hii wanapewa tembo wale na tembo hao wakijisaidia inaenda kusafishwa kisha kuuzwa, wanadai eti ikipita kwenye mwili wa tembo inapunguza ladha ya...
0 Reactions
3 Replies
661 Views
  • Article Article
"Mama kuwa na umri zaidi ya miaka 35 au Baba kuwa na miaka zaidi ya 40 kunaweza kupelekea kupata mtoto mwenye mtindio wa ubongo, kupata infection wakati wa ujauzito, Mama mjamzito kuumia sababu...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
  • Article Article
Tumefanikiwa kuipata picha hii ambayo inaaminika huyu ndio Gustave. Kuna Mamba katika Ziwa Tanganyika anayeitwa "Gustave" ambaye inadaiwa ameua zaidi ya watu 300 katika miongo kadhaa iliyopita...
21 Reactions
132 Replies
7K Views
  • Article Article
Salaam Wakuu Nimekutana na picha hii ya uwanja uliojaa sana watu kupitiliza, je ni picha ya kweli au masuala ya AI haya?
3 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Nimeona kuna taarifa zinadai kuwa kumlaza mtoto katika mitindo tofauti na chali kunawesza kumletea madhara ikiwemo vifo vya ghafla, hili jambo limekaaje?
3 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Nimesikia na kuona vipande vya video fupi vikidai Mafinga ilinyesha Mvua iliyosababisha barafu kuzagaa mitaani hadi baadhi ya maeneo barabara zikawa nyeupe, nimeona video hizo ila nikapata ukakasi...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimesikia sehemu kuwa binadamu anaweza kupata usugu wa vimelea kutokana na kutumia mazao yatokanayo na wanyama mbalimbali, mfano wa mazao hayo ni nyama nk. Hofu yangu ni kuwa wafugaji wengi siku...
0 Reactions
0 Replies
517 Views
  • Article Article
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia! Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani...
23 Reactions
120 Replies
13K Views
  • Article Article
Kuna hili suala la Kuwa Mpanzu amesajaliwa Simba tayari japo bado haijaw wazi ila jambo linalonipa utata ni tarifa z kuwa atacheza kuanzia hatua ya makundi kwa kuwa dirisha dogo litakuwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
  • Article Article
Kuna video inayomuonesha Edna Cintron akipunga mkono akiwa ghorofani baada ya shambulizi la septemba 11, 2001 nchini Marekani je aliokolewa au alifariki pale pale?
1 Reactions
0 Replies
664 Views
  • Article Article
Nahitaji kufahamu taarifa inayosambaa kwamba dawa za ARV zinatumika kunenepesha mifugo.
1 Reactions
0 Replies
775 Views
  • Article Article
Nimeona mjadala kuhusu mihula anayoruhusiwa kugombea makamu aliyeshika madaraka ya Urais kutokana na kuchukua kiti katikati ya muhula baada ya Rais aliyekuwepo madarakani kushindwa kuendelea aidha...
5 Reactions
78 Replies
6K Views
  • Article Article
kwanini maji ya mabwawa na maziwa kupwa na kujaa kwake hakuonekani kama ilivyo baharini?
0 Reactions
0 Replies
673 Views
  • Article Article
Nimeona taarifa ikionesha kuwa unywaji wa maziwa mabichi husababisha ugojwa wa brucellosis na mimi kwa upande wangu nimekuwa nikinywa maziwa mabichi kwa muda kidogo japo sijawahi kuona changamoto...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Back
Top Bottom