SI KWELI Threads

  • Article Article
Tizama hi video kwa makini kabla ya ku-comment. Kiongozi wa Korea kasikazini amelegeza mashariti kwa dini moja tu uko nchini kwake baada ya kushuhudia great miracle en Wisdom katika kitabu cha...
10 Reactions
85 Replies
5K Views
  • Article Article
Salaam Wakuu, Nimekutana na Taarifa kutokea Twitter ya Privadinho ikikanusha taarifa zinazoelezea sakata la Yanga kufungiwa kusajili sababu ya kushindwa kulipa deni ya Bechem United. Tazama hapa...
0 Reactions
0 Replies
913 Views
  • Article Article
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza masikitiko yake na kulaani vitendo vya upendeleo vinavyodaiwa kufanywa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC). TEF limezitaka taasisi zote...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
  • Article Article
Baada ya jana Klabu ya Simba kutoa taarifa kuwa mlinda mlango wao, Aishi Manula alishindwa kusafiri kuelekea Algeria baada ya kupata hitilafu ya kiafya dakika chache kabla ya kuondoka Uwanja wa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Article Article
0 Reactions
0 Replies
747 Views
  • Article Article
Wanawake wajawazito hupewa tahadhari au hata hukatazwa kabisa kufanya baadhi ya mambo kwa lengo la kuwaepushia madhara yanayoweza kuhatarisha afya zao, pamoja na mtoto aliyeko tumboni. Miongoni...
2 Reactions
3 Replies
7K Views
  • Article Article
Nmeona hizi taarifa je zina uhalisisa wowote?
0 Reactions
0 Replies
464 Views
  • Article Article
Wanajamvi salaam Leo nimekutana na hii taarifa inasema Tundu Lissu amesema hakubaliani na lolote litakalozungumzwa na Mbowe, nafikiri haya yanaibuka baada ya vikao vya kamati kuu ya CHADEMA, Je...
1 Reactions
0 Replies
724 Views
  • Article Article
Nimekutana na taarifa zinadai kuwa Baltasar Ebang Engonga ameachiwa huru na kurudi mtaani baada ya kukutwa hana hatia kwani Wanawake wale aliokuwa akifanya nao ngono kwenye zile video zaidi ya 400...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Wakuu nahitaji kupata uhalisia wa hii taaria niliyokutana nayo huko mtandao wa X kwamba Zitto Kabwe anahusishwa na utekaji wa Nondo ni upi uhalisia wa taarifa hii?
0 Reactions
10 Replies
900 Views
  • Article Article
Inaaminika kuwa ugonjwa wa mabusha husababishwa na unywaji wa maji ya madafu. Madai haya hupata mashiko makubwa zaidi kwa kuwa tatizo hili huwapata wanaume wengi wanaoishi Mwambao wa Pwani ya...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Katika pita pita zangu, nimekutana na maada inayosema kwamba matunda kama nyanya yanaweza kushambuliwa na popo, au nyoka. Hivyo basi Ukiona nyanya ikiwa hivi(pichani) usipende kula mbichi au...
6 Reactions
74 Replies
5K Views
  • Article Article
Wakuu nimekutana na barua mtandaoni inasambaa inaonekana kuwa ya LHRC ina kichwa cha habari, uimarishwaji wa demokrasia uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, barua hiyo inaeleza kuwa Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
458 Views
  • Article Article
Nimejongea JamiiCheck kwa mara nyingine, tafadhali naomba kupata uhalisi wa barua hii kama ni ya kweli kwamba Fei Toto amevunja mkataba na Azam FC
2 Reactions
19 Replies
3K Views
  • Article Article
Nimekutana na hii taarifa nahitaji kujua kama ni kweli tukio hili limetoa Masese Uganda.
0 Reactions
0 Replies
532 Views
  • Article Article
Salaam Wakuu, Nimekutana na hii Taarifa ya The Chanzo inadai Chama Cha Demokrasia na Maendelea kimemsimamisha Uanachama Tundu Lissu. Kuna ukweli?
0 Reactions
1 Replies
649 Views
  • Article Article
Mbowe na Mnyika Waisifia TAMISEMI. Lissu atakiwa kuwapisha CHADEMA huku Fedha za Chama zikielekezwa uchaguzi kanda ya Kaskazini kisa chama hakina hela.
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Back
Top Bottom