SI KWELI Threads

  • Article Article
Picha hii na maandiko yamekuwa yakisambaa mtandaoni, yakielezea dhana ya kwamba watu wa zamani walikuwa wakiishi duniani, na kwamba baadhi ya mabaki ya silaha zao kubwa ambazo zilikuwa zinatumika...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Article Article
Wakuu salaam, Nimekutana na posti hii ikielezea kuwa Anna Henga wa LHRC wamesema kuwa CCM kuuawa ni haki yako huku ikiwa na picha ya yule Mama wa CCM aliyeuawa hivi karibuni. Post hii hapa Chini:
0 Reactions
0 Replies
675 Views
  • Article Article
Habari za weekend wakuu Uhalisia wa taarifa hii kuhusu Lissu umekaaje wakuu maana napata utata nimepita katika page za JamiiForms sijaiona kabisa
0 Reactions
0 Replies
902 Views
  • Article Article
Nimeona huko walimwengu wakijadili kuhusu vile vipele vinavyozunguka kichwa cha uume, sasa baadhi wanadai kuwa mwanaume mwenye hivyo vipele ana asilimia ndogo sana ya kuambukizwa UKIMWI hasa akiwa...
5 Reactions
42 Replies
3K Views
  • Article Article
Mbunge wa Kawe (CCM), Josephat Gwajima amesema mojawapo ya sehemu zinazopatikana kwenye Jimbo lake inayoitwa Mikocheni wamefanikiwa kusambaza mabomba ya gesi kwenye nyumba 480. Uhalisia wa kauli...
1 Reactions
6 Replies
719 Views
  • Article Article
Kumekuwepo na madai kuwa ulaji wa ugali hudumaza akili. Madai haya yana ukweli kiasi gani?
3 Reactions
675 Replies
34K Views
  • Article Article
katika pitapita zangu katika mtandao wa X nimekutana na chapisho hili kumhusu Tundu Lissu Wakuu uhalisia wa chapisho hili ni upi?
0 Reactions
0 Replies
458 Views
  • Article Article
LISSU: Mbowe ametuharibia chama na uchaguzi wa ndani ya chama katika kupata wagombea kisa ahadi za Uwaziri Mkuu 2025
0 Reactions
0 Replies
600 Views
  • Article Article
"HOTUBA YA DONALD TRUMP KUHUSU KWA NINI ANAWACHUKIA WAAFRIKA NA WAARABU". Hatulazimiki, hata kwa sekunde moja, kujaribu kuthibitisha kwa mtu yeyote na hasa kwa weusi na Waarabu kwamba sisi ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimekutana na hii taarifa iliyotolewa na The Chanzo ikidai kuwa Padri Dkt. Kitima kupitia taasisi yake ya CK ana mradi wa kugawa bidhaa tajwa hapo juu, Wasiwasi wangu isije kuwa wanamchafua Padri...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
  • Article Article
Kwenye hizo audio mbili yasemekana Serikali inaidai kampuni ya Vodacom "tozo" au "kodi" kutokana na fedha zinazowekwa na wateja wake kwenye AKAUNTI ya M-Koba. Kuna hatari Akaunti hii inaweza...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
  • Article Article
Nmeona tangazo kwenye baadhi ya makundi huko mtandaoni kuwa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza nafasi za kazi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Article Article
Wakuu nimekuwa nikiona watangaza bidhaa za dawa za tiba asili wanadai dawa zao hazina kemikali kabisa na kusisitiza watu kutumia hizo badala ya za hospitali ambazo huwa na kemikali. Nimekumbuka...
1 Reactions
2 Replies
774 Views
  • Article Article
Wakuu, Kuna ujumbe huu umekuwa ukisambaa sana kwenye magroup za Whatsapp na nyingine zikitumwa na watu unaowafahamu. Kuna mtu nimemwambia huu ni utapeli anabisha anaona kama namnyime fursa...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
  • Article Article
Katika pitapita zangu nimekutana na hii situation ikijadiliwa kuwa wakati wa mawio hadi kufikia mida ya saa 2 na pia mida ya kuanzia saa 12 kasoro mpaka jua linapochwaa, hilo jua tunaloliona si...
1 Reactions
5 Replies
837 Views
  • Article Article
Video hii hapa chini inadai Rais wa Marekani atahamia Zanzibar. Ina ukweli? Video ya Rais Biden
0 Reactions
21 Replies
3K Views
  • Article Article
Nakumbuka shule niliyosoma tulikuwa tunawekewa mafuta ya taa kwenye chakula, Katika kudadisi kwa nini watuwekee mafuta hayo niliambiwa kuwa wanatuwekea ili kutufanya tusiwe na hamu au kupunguza...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom