SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
Ndipo nilipokaa chini pembezoni kidogo na ukingo wa kitanda changu nikiwa nimegubikwa na shauku kubwa ya mafanikio. Kama Kijana mdogo nijuaye kwa hakika na dhairi shairi kua Maisha haya ni...
18 Reactions
21 Replies
2K Views
Upvote 25
  • Suggestion Suggestion
Katika pitapita zangu mtandaoni wiki hii. nilikutana na habari moja ambayo haikuvuma sana, labda kwa sababu ya mambo chungu nzima ya umbea na vituko yavumao kila uchwao katika mitandao ya kijamii...
0 Reactions
0 Replies
474 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Temeke ni moja ya wilaya ya dar es salaam mara nyingi imekuwa ikishika nafasi ya mwisho kimkoa .Jambo ambalo tunaweza jiuliza kwanini temeke kila mara inakuwa ya mwisho lakini jibu ni kwamba...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Mambo yamekuwa tofauti sana yombo imekuwa na makundi maarufu sana ya kiharifu ambayo dar es salaam nzima yanajulikana mfano mkubwa panya road ambalo kundi hili linaundwa na vijana ambao asilimia...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kila kitu kimewekwa katika jamii yetu kwaajili ya kitu Fulani. Unatembea barabarani, unatupa chupa, muda huo huo Kuna mtu Kama wewe anategemea chupa iyo iyo unayoangusha kwa kudhamiria au kwa...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Uwajibikaji ni kitendo cha kutimiza majukumu uliyopangiwa kiasili(kama mzazi katika familia) na mahala pako pa kazi na muajiri wako. Uwajibikaji ni neno linalotokana na neno wajibu linalomaanisha...
0 Reactions
1 Replies
610 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
MADALALI WA VYUMBA MAJUKUMU YAO KUSIMAMIWA NA MWENYEKITI WA MTAA ILI KUPATA SULUHISHO LA KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOWAKUMBA MADALALI PAMOJA NA WATEJA WAO KATIKA SHUGHULI ZAO ZA KILA SIKU. Madalali...
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Tafakari juu ya kijiji chenye mashine ya kusaga moja, bomba ya maji moja, duka la kijiji ni moja, hospitali au zahanati ni moja, basi linalounganisha miji na kijiji ni moja na pengine vyote hivyo...
0 Reactions
1 Replies
334 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Mikoa ya kusini imekuwa kwa kiasi kikubwa ikijishughulisha na kilimo. Lakini aina ya kilimo wanachofanya si aina ya kilimo ambacho kimekuwa kikiwanufaisha kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na...
11 Reactions
15 Replies
1K Views
Upvote 17
  • Suggestion Suggestion
Awali ya yote yatupasa kufahamu nini maana ya maneno:- i, Sanduku ii, Jamii iii, Sanduku la jamii SANDUKU Ni kifaa au kasha lililo tengenezwa kwa mbao, chuma au karatasi gumu ambalo hutumika...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Habari wana Jamii Forum. Naitwa Suzana, fani yangu ni uandishi wa habari mbali na hilo, ni mtunzi wa kazi za fasihi na zisizo za kifasihi. Moja kati ya changamoto zinazonikumba ni suala la kupata...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Leo nimeona ni vyema niwaletee uzi huu hasa kwa wakulima wadogowadogo wa mikoa yote Tanzania. Lengo ni kuonesha changamoto zilipo kwenye sekta hii. Mifano yangu mingi itagusa mikoa ya kanda ya...
1 Reactions
2 Replies
712 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Najua huenda hujaendesha gari la umeme au hata hujawazia kununua gari hilo, Unaambiwa Ufunguo wa Mafanikio Ni kuanza Mapema, kabla ya Muda kufika. Kuna Wakati Sisi hapa Tanzania, Vituo vyote vya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
SABABU ZA KUKUA KWA LUGHA YA KISWAHILI KIMATAIFA NA KUDUMAA NCHINI Kiswahili ni Lugha inayozidi kukua barani Afrika na duniani kote kadri siku zinavyozidi kusogea hili likidhihirishwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Wengi tunawafahamu na kuwapita njiani, ni ndugu zetu ila hatuwajali, niwanetu ila tunawaficha, tunawafungia, hatuwapi elimu. Wengine hukufuru na kusema watasoma nini ili wawe nani? wengine pia...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Elimu ni uwezo wa mtu kumudu mazingira yake, elimu isiyomsaidia mtu kufanya hivyo ni mufilisi, sawa na ngombe anayepeleka ulimi wake puani kisha kuurudisha tena kinywani. Shaban Robert aliandika...
1 Reactions
0 Replies
354 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Kama ilivyo katika mikakati ya kimaendeleo ya taifa letu kuwa kijana ndio nguvu kazi ya taifa na ndio taifa tegemewa la kesho, lakini kijana huyo huyo anaezungumziwa na taifa lake bado haelewi...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Je, unahitaji kujua kwa undani nini kifanyike Ili kukuza sayansi na teknolojia nchini usipitwe ndugu mwana JF naomba pia unisaidie kunipigia kura mwishon mwa andiko hili, Mungu akubariki 🙏🏼...
5 Reactions
8 Replies
657 Views
Upvote 23
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Uchumi ni nini? Uchumi ni hali ya ukuaji au udororaji wa kiwango cha hali za kimaisha kwa jamii husika , au tunaweza kusema kuwa uchumi ni msingi mkuu wa maendeleo kwa taifa...
3 Reactions
10 Replies
849 Views
Upvote 8
  • Suggestion Suggestion
MTINDO WA MAISHA YAKO NDIYO AFYA YAKO Habari wanajukwaa ,mimi kama kijana wa kitanzania mwenye uchu wa mapinduzi chanya ya kiafya kwa watanzania nawaletea kwenu ujumbe huu unaogusia zaidi...
4 Reactions
2 Replies
907 Views
Upvote 5
Back
Top Bottom