SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
ELIMU YA UPILI TANZANIA Elimu ni ujuzi na maarifa juu ya jambo fulani,inayomwezesha binadamu kupata uelewa juu ya dhana tofauti. Elimu ziko za aina mbalimbali,ila hugawanywa katika aina kuu mbili...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Andiko hili litakua katika sehemu tatu. Moja utangulizi ambao utelezea maana ya sheria. Mbili, hapa nitaonesha baadhi ya maamuzi ya kisheria yenye kuleta utata katika jamii zetu, ya kiuchumi...
4 Reactions
42 Replies
2K Views
Upvote 10
  • Suggestion Suggestion
Umeme ukikatika tunasubiri kwa dakika 5 tu labda utarudi sababu ni kawaida ya nchi yetu, na baada ya dakika 5 umeme haujawaka, tunajaribu kutafuta taarifa kama shirika la umeme lilitoa tangazo juu...
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Uzalendo ni hali ya mtu kulipenda na kulitumikia taifa lake kwa moyo wa dhati. Uzalendo ni nyenzo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote kwa kuwa ndicho kichocheo cha ndani kabisa kwa...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Upvote 13
  • Suggestion Suggestion
Uchafu ni maudhui, matendo au mata inayopatikana mahali pasipotakiwa kwa wakati usiotakiwa. Hatuwezi kutenganisha maendeleo na usafi au mpangilio wa kila kitu, kila siku katika mambo yote...
0 Reactions
0 Replies
492 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Tatizo hili la kuzuia maiti ya mtu mara baada ya ndugu kushindwa kulipa pesa ni tatizo linalowatesa watu wengi sana hususan watu wenye kipato cha chini, Si kwamba watu wanafanya makusudi...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Upvote 10
  • Suggestion Suggestion
HUDUMA YA VYOO VYA KULIPIA KWENYE VITUO VYA DALADALA UTANGULIZI: Tukichukulia maisha ya mjini hasa miji mikubwa kama Dar es Salaam suala zima la mahitaji ya choo ni muhimu kwa jamii. Na karibu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kumaliza tatizo la ajira na kulialia ni lazima uwe mbunifu wa kutumia vyema nafasi na elimu uliyopata kuzalisha kwa namna tofauti.Ni rahisi kutumia ulichosomea kwa utofauti kwa kusoma at least...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Tafiti zilizofanywa mwaka 2020 zinaonyesha uchumi wa nchi hautegemei tu jumla ya bidhaa na huduma zinazotolewa kwenye nchi kwa mwaka huo yaani 'Gross Domestic product' bali mfumo wa elimu pia...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Ukiongelea haya mambo utajua ni utani,ila ukosefu wa hivi vitu ndio sababu namba 1 ya vifo vingi kwenye mkanyagano katika mikusanyiko na vifo kupitia magonjwa ya ghafla majumbani [emoji117]Kwa...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Habari wanajamvi. Nimekaa na kutafakari ongezeko la àjali za baràbarani ambalo limeikumba nchi yetu. Ajali ambazo zinagharimu maisha ya watu, uharibifu wa Mali na miundombinu, huku zikiacha...
0 Reactions
3 Replies
557 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Jina la Shairi: Undugu Wetu Matatani Jina la Mtunzi: Anna Meleiya Mbise 1.Waungwana nauliza, twaishije duniani, Wanadamu twashangaza, zaniwasha zangu mboni, Undugu tunapoteza, tumekuwa hayawani...
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Jina la Shairi: Mwanafamilia Mpya Jina la Mwandishi: Anna Meleiya Mbise 1.Wanaita digitali, zama zimebadilika, Na wala si ajali, ndio pilikapilika, Twazipata kihalali, kutunza tunachemka, Simu...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Siku zote inaaminika kuwa mteja ni mfalme. Je ni kweli? Wakati mwingine mteja anaamua kwenda kutafuta huduma sehemu nyingine. Yote ni kwasababu amekutana na maswaibu mengi pindi alipohitaji kupata...
0 Reactions
0 Replies
255 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Nikianza kwa kutaka kujua kama ni sheria ambayo siyo thabiti juu ya matumizi ya dawa za binadamu au wasimamizi wa sheria ya matumizi ya dawa za binadamu ndiyo hawazisimamii inavyotakiwa au tatizo...
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
(Mwanzo) Hadithi Fupi “Mamu, Mamu, we Mariamu si nakuita ina maana hunisikii?”, ilisikika sauti ya Mama Ibra kama ilivyo kila siku mida ya saa kumi na moja na nusu akiwa anamuamsha mwanaye. “Amka...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Injini yoyote ili ifanye kazi inahitaji mafuta ya kuiendesha na kuirainisha, hii ni sawasa na mahitaji ya mwili. Mwili ili ufanye kazi unahitaji upate chakula kwa matumizi mbalimbali...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kwa miaka ya karibuni kumekuwa na migogoro mingi sana ya ndoa tofauti na ilivyokuwa zamani. Changamoto ni nyingi sana,labda sababu ya kipato, wengine ubize wa kazi, wengine mgongano wa mawazo na...
4 Reactions
5 Replies
503 Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Nakala hii nitazungumzia KIRUSI CHA NHIF kimaana TATIZO LA MFUKO WA BIMA YA AFYA LINALOPELEKEA KUFA KWA NHIF. Nitatumia Sayansi ya Uumbaji katika kukizungumzia KIRUSI CHA NHIF lakini kabla ya...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom