SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
Habari za wakati huu msimamizi(moderator), habari za wakti huu washiriki na wanachama wenzangu wa jamii forum,Madada,Wakaka,Vijana,Wazee,Marafiki na Maadui. Leo napenda kuzungumzia MABADILIKO...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Katika nakala hii nta jaribu kuelezea nini siri kubwa ya kiuchumi iliyo jificha nyuma ya mabadiriko ya mifumo ya kiutendaji kazi yaani teknolojia. Dunia yetu ya leo ime kua na mabadailiko makubwa...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Tatizo la ajira limekua mtambuka duniani Kwa sasa, nchi nyingi duniani zimekua zikikutana na changamoto hii hususani katika kipindi hiki ambacho dunia inashuhudua anguko la uchumi...
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
“Kweli natafuta na napata… lakini fedha hazitoshi kabisa…”. Hizo ni kawaida kuzisikia kauli hizi katika maisha ya kila siku ya watanzania wengi hususan huku uswahilini kwetu ambapo wengi tunafanya...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
UTUMWA WA INTANETI NA MITANDAO YA KIJAMII Matumizi ya intaneti yanazidi kukua kila kukicha kulingana na jinsi Sayansi na Teknolojia vinavyozidi kuboreshwa. Kutokana na maendeleo hayo mitandao ya...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
IWE USIKU, IWE KUCHWA USIPOTEZE TUMAINI LAKO. Karibu katika Makala/Andiko hili ambalo kwa ukubwa limejikita kwa Wapambanaji, wanaonza kufikiri kuanza kupambana na wale waliopo kwenye mapambano na...
0 Reactions
0 Replies
485 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI. Utawala Bora ni nini? Ni utaratibu wa kutumia madaraka ya Umma,kusimamia haki za binadamu, rasilimali na kuzitumia kuboresha Maisha ya wananchi. Utawala Bora huzingatia sheria na...
6 Reactions
1 Replies
379 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
NI MUDA MUAFAKA WA KUINUA VILIVYO VYETU. Utangulizi. Mpaka sasa, kumekuwa na imani hafifu kwa watanzania hasa linapokuja suala la kukubali vitu mbalimbali vinavyotengenezwa au kuzalishwa na raia...
9 Reactions
66 Replies
3K Views
Upvote 28
  • Suggestion Suggestion
 MADA; UCHUMI NA UTAWALA BORA  TANZANIA.  UTANGULIZI nchi yeyote ile Ili ikue kiuchumi inahitaji serikali iliyo bora na imara, Kwa maana ya kwamba serikali ambayo misingi ya democrasia na haki za...
0 Reactions
0 Replies
295 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
MBINU ZA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA NA TABIA YA NCHI. Mabadiliko ya hali ya hewa na tabia ya nchi ni tatizo linalokumba maendeleo ya katika nyanja zote kama inavyolipotiwa na vyombo...
5 Reactions
9 Replies
555 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Kulingana na mada kama jinsi nilivyo itambulisha hapo juu "VYA KALE VYA DUMISHA VYA SASA VYA DHOOFIDHA", hapa nazungumzia juu ya suala la "Afya". Baadhi yetu wapo ambao wamekuwa wakiamini kuwa...
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Mara nyingi ni ngumu kwa binadamu wengi kuchukua hatua mpaka jambo zito linapotokea aidha kwao au kwa watu wao wa karibu. Tena katika wakati tuliopo ambao wengi wetu tunaongozwa na hisia kuliko...
4 Reactions
3 Replies
606 Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Kutatua mapengo ya kijinsia katika TEHAMA ni muhimu kwa mustakabali endelevu "Kuwawezesha wasichana kuchagua taaluma za TEHAMA sio tu nzuri kwa wasichana na familia zao, inaweza kuwa kichocheo...
1 Reactions
0 Replies
511 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Ikisiri Lengo la makala haya ni kudhihirisha kwa uwazi vikwazo mbalimbali ambazo hukabiliana nazo wanafunzi hususani wa maeneo ya vijijini katika kupata elimu iliyo bora. Wapo waandishi wengi...
0 Reactions
1 Replies
916 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Kila jambo linaanza panapokuwa na chanzo, mambo kama maisha, ndoa, mafanikio, umasikini, magonjwa n.k. Wanadamu tuna fursa ya kubadili hasi kwenda chanya, kila mmoja wetu anatamani kubadili...
1 Reactions
0 Replies
323 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI SAYANSI ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo,kutazama na kujaribu. Na TEKNOLOJIA ni vifaa na mashine zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu. SAYANSI na...
4 Reactions
7 Replies
5K Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Mabadiliko katika nyanja za kielimu, utawala,uchumi, afya,kilimo sayansi na teknolojia yanaweza kuchochewa na sababu zifuatazo. Uzalendo. Uzalendo ni miongoni mwa sababu kubwa sana inayoweza...
0 Reactions
0 Replies
422 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kupitia jukwaa hili nataka kuwafikishia elimu hii watumiaji wa jukwaa hili la jamii kuhusu NJIA MBILI ZA KIFIKRA KATIKA JAMBO MOJA NA MAAMUZI CHANYA. Kwa ufafanuzi zaidi ili kuleta maana harisi...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Kuna mambo kama matano kwa mtazamo wangu ikiwa tutachukua hatua kubadilisha nadhani kila kitu kitabadilika kwenye nchi hii (1)Mapinduzi katika Sekta ya Elimu (a)Kubadilisha Mfumo wa Elimu. Kutoka...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Sanaa inaweza kutumika kuwasilisha fikra au mawazo yaliyo ndani ya akili ya mtu. Wasanii hutumia ufundi na ujuzi mbalimbali kubadili fikra na mawazo yao kuwa vitu vinavyovutia kwa hadhira zao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
Back
Top Bottom