SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
MATUMIZI YA MITANDAO YA KIJAMII. Mada kuu; je ipi matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa vijana wa kitanzania (miaka 10 -45) hivi leo? Maana halisi ya dhana kuu; mitandao ya kijamii ni nini...
0 Reactions
0 Replies
361 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Habari za wakati huu wana JamiiForums. Leo napenda kuongea na waandaaji wa filamu Tanzania. Kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mfanyayo ya kuielimisha na kuiburudisha jamii. Pia, niwapongeze kwa...
1 Reactions
0 Replies
367 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Hata kulalamika kwamba umeme unakatika kila siku wakati hata ule kidogo uliopo unautumia kuchajia simu ni kufikiri ndani ya kasha. Wachina wanautumia umeme kubadili usiku kuwa mchana ili wafanye...
0 Reactions
1 Replies
355 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
VIJANA TUNAWEKA AKILINI SANA MAANDALIZI YA TENDO LA NDOA YA KITANDANI TU ILA TUKUMBUKE MAANDALIZI YA TENDO LA NDOA YA NJE YA KITANDA NI MAKUBWA NA YANAHITAJI MUDA MREFU ZAIDI KULIKO YA KITANDANI...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
NYUMBANI Ilikuwa saa saba mchana , jumatatu ya tarehe kumi mwezi wa kumi na mbili mwaka elfu mbili na arobaini na tano, Ilisomeka hivyo kwenye saa ya kidigitali iliyotoa mwanga ulioelea hewani...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
FAIDA ZA KUWA WAZALENDO UTANGULIZI Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajili ya nchi yake na kuweka maslahi ya nchi mbele na ya kwake binafsi nyuma. Na mara nyingi...
9 Reactions
18 Replies
4K Views
Upvote 21
  • Suggestion Suggestion
1) Wabunge 20 wataalamu waongezwe Tofauti na wabunge wa majimbo. -Hawa watakuwepo bungeni kuwakilisha taaluma au fani mojawapo muhimu katika maisha ya watanzania. Mifano ya fani hizo ni Elimu...
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
LEO MWISHO “ Hivi Jacob lini utaelewa Kwamba maisha sio kitu cha mchezo, leo mimi nipo kesho na keshokutwa nitakufa , hivi utakuwa mgeni wa nani?” kama kawaida Martin alirudia wimbo ule ule kwa...
0 Reactions
1 Replies
493 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
SIKIA HII Tanzania ni nchi ya pili kwa mifugo mingi barani Afrika nyuma ya Ethiopia.Uwepo wa mifugo mingi ni fursa kubwa ya kuwekeza na kukuza biashara ya ngozi. Tuko wapi? ,Licha ya kuwa na...
7 Reactions
28 Replies
1K Views
Upvote 19
  • Suggestion Suggestion
Utawala ni Hali inayoakisi sifa nyingi zilizopo kwenye Matabaka Makuu Mawili ambayo yanaunganishwa na Tabaka liitwalo Mifumo/Mfumo. Sifa kama Utii,Uzalendo,Ukarimu,Ubunifu,Kujitoa,Misimamo...
4 Reactions
4 Replies
559 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Ufaulu wa mwanafunzi unategemea vitu vingi ikiwemo nyenzo za kusomea mfano vitabu, marudio ya mitihani nk Walimu bora, mazingira mazuri ya kujisomea nk Lakini kumekuwa na tatizo kubwa la...
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa hili la Tanzania.Sekta ya kilimo huchangia asilimia sitini katika kutoa ajira kwa vijana.Wizara ya kilimo huchangia asilimia ishirini na tano katika pato la taifa...
0 Reactions
1 Replies
726 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Stories of change; Aplikesheni mkombozi. Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana wengi wa Kitanzania ni moja kati ya matatizo ambayo mpaka sasa halijaweza kutatuliwa kikamilifu. Sio tu Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
426 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Uzalendo ni neno lenye maana pana inayohusisha mapenzi ya dhati na uwajibikaji kwa nchi yako. Tanzania ni moja kati ya nchi kubwa barani Africa yenye mtaji wa watu zaidi ya milioni...
0 Reactions
1 Replies
496 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Unaweza kujikwamua au kujiajiri katika ujasiriamali kwa kutumia mtaji kidogo lakini kwq manufaa makubwa Mfano: Mimi nina bachelor ya masuala ya jinsia katika maendeleo ila bado sijapata ajira...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Kwa mujibu wa shirika la watu duniani UNFPA, ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto ni moja ya majanga makubwa ya ukandamizaji wa haki za binaadamu duniani ikiwemo Tanzania. Inakadiriwa...
2 Reactions
3 Replies
634 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Suluhisho la ukosefu wa ajira Tanzania. Utangulizi; Ukosefu wa ajira imekuwa tatizo kubwa Sana kwa nchi zinazoendelea na nchi yetu Tanzania ikiwa miongoni. Tatizo linaanzia kwa mfumo wa elimu...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kijana kama unataka kufanikiwa maishani, epuka tabia zifuatazo: 1: KUKOSA UAMINIFU KAZINI Vijana wengi sio waaminifu kabisa, wengi wana tamaa ya mali nyingi ndani ya muda mfupi, hata kama ni kwa...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Maji na uchumi wa Tanzania Maji ni unyevunyevu usio na rangi wala harufu, Na Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao, Maji yana nafasi kubwa katika...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kazi za binadamu au human labour ni kazi zimekuwepo miongo na miongo mingi sana hapa Duniani. Ila kuna dalili kwamba zinaelekea kufikia mwisho muda si mrefu sana kutoka sasa. Katika mkutano wa...
9 Reactions
19 Replies
781 Views
Upvote 11
Back
Top Bottom