SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
Kwa jina naitwa Marina, ni kijana mwenye miaka 30, mzaliwa na mkaazi wa Zanzibar. Nimemaliza elimu yangu ya chuo kikuu nchini China mwaka 2020, ambapo nilisomea udaktari wa binaadam, na nimefanyia...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Upvote 16
  • Suggestion Suggestion
Mnamo mwaka 1865, kwa mujibu wa vitabu vya historia. Biashara ya utumwa ilifikia tamati ulimwenguni kote. Mimi najua, na wewe unajua Afrika utumwa haukukomeshwa mwaka tajwa. Ni mwaka 1961 Disemba...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Upvote 12
  • Suggestion Suggestion
TANZANIA IWE NA VYAMA VYA SIASA VICHACHE ILI KUIMARISHA TAIFA. Mfumo wa vyama vingi vya siasa unaboresha demokrasia ya nchi kwa kuifanya Serikali chini ya chama tawala iliyopo madarakani kutimiza...
0 Reactions
15 Replies
937 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi. Nimekuwa maarufu sana katika karne hii ya ishirini na moja(21). Kila mahali napokelewa kwa shangwe na walio wengi, sio vijana tu bali watu wa kila umri wananikubali na Kunipenda...
23 Reactions
74 Replies
5K Views
Upvote 41
  • Suggestion Suggestion
Mwalimu T, Rafiki yangu kipenzi wa enzi na tena mhitimu wa ndaki ya Ruaha. Kwa sasa ninafanya naye kazi. Alidumbukia ndoani miaka miwili iliyopita. Bwanaye ni mshehereshaji, mwembamba wa mwili na...
0 Reactions
1 Replies
978 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Tuanze na mwanzilishi na mgunduzi wa tamaduni hii ya sanaa tingatinga. Edward Said Tinga Tinga mwenyewe, bila shaka unamfahamu! Kama la basi muulize babu yako vizuri maana huyu jamaa ndio habari...
0 Reactions
3 Replies
853 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Ni ukweli kwamba wanafunzi wengi wanaomaliza kidato cha sita na wale wanaosomea fani vyuo vya kati na vyuo vya ufundi wamekuwa na ndoto kubwa za kufika elimu ya juu yaani chuo kikuu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI. Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya...
14 Reactions
81 Replies
3K Views
Upvote 24
  • Suggestion Suggestion
Kamusi ya kiswahili ina eleza neno "Utajiri" kama neno la kiarabu likimaanisha wingi wa vitu vya thamani na wa vyanzo vya mapato ambayo nchi au mtu anamiliki. Katika karne hii ya 21 ambayo...
24 Reactions
87 Replies
6K Views
Upvote 37
  • Suggestion Suggestion
Chanzo picha:TechCrunch Habari yako, mimi ni Hadija Mlacha, Karibu katika makala haya yanayoangazia umuhimu wa sayansi na teknolojia katika afya ya binadamu, yapo mengi ya kujifunza. Maendeleo...
6 Reactions
1 Replies
716 Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
DONDOO KUHUSU FOREX KWA WASIOIJUA KABISA. Katika andiko hili, kwanza kabisa inabidi tujue maana ya Forex. Je, Forex ni nini? Forex ni biashara ya ubadilishaji wa fedha za kigeni. Neno ‘FOREX’ ni...
14 Reactions
46 Replies
8K Views
Upvote 16
  • Suggestion Suggestion
PATA MAWAZO YA BIASHARA HAPA(HASA KWA WAJASILIAMALI). Andiko la leo, nitaongelea kuhusu biashara mbalimbali ambazo mtu mwenye mtaji uwe mkubwa au mdogo anaweza kuwekeza. Hivyo jongea katika huu...
5 Reactions
2 Replies
5K Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
" KILA NAFSI ITAUONJA UMAUTI, ndivyo yasemavyo maandiko.Lakini, moja kati ya habari ambazo hazinaga utamu kwenye ngoma za masikio ya wanadamu ni habari kuhusiana na KUFA / KIFO Lakini...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
Upvote 22
  • Suggestion Suggestion
Namna ya uwezeshwaji kwa vijana ili kujikwamua kiuchumi na kijamii. Kwanza nitoe pole kwa wasomaji wenzangu hasa vijana hivyo nami nitakuwa miongoni mwa watoa makala za mashindano ya mabadiliko...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
Hello Kwa majina naitwa Innocent Kirumbuyo. Ilo ndilo jina langu nililopewa na baba yangu mzazi mwalimu wilifred kirumbuyo na mama yangu Benedetha Beda masawe Elimu yangu ni kidato cha nne...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Salaam kwenu wapenda maendeleo. Najua Kuna wakati tunawachosha kwa makala nyingi za mfululizo , tusichoke kushiriki Hanna kwasababu kupitia platform hii, Kuna watu wanabadili mitazamo. Kuna...
14 Reactions
11 Replies
2K Views
Upvote 15
  • Suggestion Suggestion
Jiepushe na Maambukizi katika njia ya mkojo kitaalamu – UTI (Urinary Tract Infections) Anaandika Dr MSANGY. 0752591744/0682080069 UTI – Ni maambukizi ya vimelea vya magonjwa katika mfumo wa...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Habari wanajukwaa wenzangu.Ni matumaini yangu kila mmoja yu buheri wa Afya. Mimi ni kijana niliyemaliza kidato Cha nne miaka kadhaa iliyopita lakini isivyobahati sikufaulu yaani nilifeli kidato...
9 Reactions
4 Replies
2K Views
Upvote 11
  • Suggestion Suggestion
Naam, moja ongeza moja ni tatu. Katika juhudi (effort) huwa ipo hivi; zikiunganishwa jitihada zaidi ya moja, matokeo yake huwa ni makubwa kuliko ile jumla yake ya kihesabu tu. Uliwahi kutokea...
0 Reactions
1 Replies
493 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
‘KURUTI!, UHAKIKA WA VITENDO!’ kwa sauti kali ya kuamrisha mara ya kwanza naisikia ilikuwa ni jeshini. Ilipenya na kueleweka haraka kwa sababu mbili; Mosi, kile nilichokijua tangu mwanzo kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
500 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom