SoC03 Threads

  • Suggestion Suggestion
ELIMU NDIYO SILAHA YENYE NGUVU ZAIDI AMBAYO UNAWEZA KUTUMIA KUBADILISHA ULIMWENGU Imeandikwa na: MwlRCT I. Utangulizi Elimu imekuwa ikitajwa mara kwa mara kama silaha yenye nguvu zaidi ambayo...
1 Reactions
1 Replies
454 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Uwajibikaji ni msingi muhimu wa Utawala Bora katika nyanja mbalimbali. Hata hivyo, katika jamii nyingi, uwajibikaji umekuwa changamoto kubwa. Kukosekana kwa uwajibikaji kunaweza kusababisha...
2 Reactions
1 Replies
493 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu sana katika kuhakikisha maendeleo ya nchi yetu. Hata hivyo, umomonyoko wa maadili na malezi duni umekuwa ukisababisha changamoto kubwa katika...
1 Reactions
1 Replies
424 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi: Tanzania ni nchi iliyojaaliwa rasilimali nyingi sana zinazofanya ionekane ni nchi yenye fursa nyingi za uwekezaji, masoko ya ndani na nje, na nguvu kazi yenye uwezo. Kwa kutumia...
1 Reactions
1 Replies
415 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Katika kijiji kiitwacho Utawala Bora, watu walikuwa wakiishi katika hali iliojawa na machafuko, utata, na kutoridhika. Rushwa ilitawala, hali ya kutokuwa na usawa ilikithiri na sauti za watu...
1 Reactions
1 Replies
354 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Ndg. Wanajukwaa wenzangu, Naomba kulipanda Jukwaa hili la Utawala Bora na uwajibikaji katika utumishi wa umma. Nashukuru kwa kupata Nafasi ya Kupaza sauti Na Nakusema. Natambua Mchango Mkubwa wa...
1 Reactions
2 Replies
257 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Maisha ya sasa duniani yamekuwa kama uwanja wa vita. Binadamu tumeendekeza maisha ya duniani na kujijengea himaya zetu kana kwamba tutaishi milele. Hebu jaribu kutafakari visa vinavyotokea kila...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
Upvote 20
  • Suggestion Suggestion
Elimu ni moja ya nyanja muhimu katika maendeleo ya jamii. Hata hivyo, katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na changamoto nyingi katika sekta ya elimu ambazo zimeathiri ubora wa elimu na...
0 Reactions
0 Replies
377 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
KUWEZESHA MAONO: UWEKEZAJI BORA NI KATIKA WATU Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Kufikia malengo na kufanikiwa kunahitaji zaidi ya juhudi na bidii. Inahitaji pia umiliki wa maono na uwekezaji...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Teknolojia imekuwa ni sehemu muhimu katika maendeleo ya dunia. Kwa kufanya mabadiliko katika nyanja mbalimbali kama vile afya, elimu, kilimo, sheria, malezi, sanaa, na uongozi, tunaweza kuchochea...
1 Reactions
0 Replies
364 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Maana ya neno kilimo Kilimo ni shughuli muhimu ya uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara. Huu ni mchango mkubwa kwa jamii ya Tanzania kwa sababu zaidi ya asilimia 75 ya ajira zote zinategemea...
1 Reactions
2 Replies
435 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Maendeleo ya kiteknolojia ni jambo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote. Tanzania, kama nchi nyingine nyingi, inakabiliwa na changamoto kubwa katika kufikia maendeleo haya. Katika makala haya...
1 Reactions
1 Replies
271 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Mtaala ni mpango wa masomo ambao hutumiwa na shule au mfumo wa elimu kuamua ni nini cha kufundishwa na jinsi ya kufundisha. Tanzania inatumia Mtaala wa Elimu ya Msingi na Mtaala wa Elimu ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Ni muhimu kwa Tanzania kuendelea kufanya marekebisho ya sera na sheria zake za usimamizi wa rasilimali ili kuhakikisha uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika matumizi ya rasilimali za umma. VITU...
1 Reactions
1 Replies
227 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utawala bora ni muhimu katika kuleta maendeleo na ustawi wa jamii. Hata hivyo, ili kuhakikisha utawala bora unapatikana, uwazi na uwajibikaji ni muhimu sana. Uwazi ni hali ya kuwepo kwa taarifa...
1 Reactions
1 Replies
320 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Habari ni taarifa au maelezo kuhusu tukio, jambo au matukio mbalimbali yanayotokea katika jamii, taifa, au dunia kwa ujumla. Halikadhalika, vyombo vya habari ni njia au nyenzo...
2 Reactions
1 Replies
346 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Utawala bora na uwajibikaji ni mada muhimu sana katika siku hizi za kisasa. Utawala bora unahusisha mifumo ya kisheria, serikali, na taasisi za umma ambazo zinafanya kazi kwa uwazi, ufanisi, na...
1 Reactions
1 Replies
546 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
UONGOZI BORA HAUHUSIANI NA CHEO, BALI NI KUWAHUDUMIA WENGINE KWA UAMINIFU NA KUJITUMA Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Uongozi ni jambo muhimu katika maisha yetu ya kila siku. Kila siku...
2 Reactions
1 Replies
720 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Nyakati hizi ni vigumu jambo lolote kuendelea bila kuhuhusisha teknolojia, kila sehemu ni digitali (tehama) haijalishi huna maarifa ya kiteknolojia au lah!, mtu au jamii bila kwenda na teknolojia...
1 Reactions
1 Replies
369 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Katika dunia ya leo viongozi wengi hawawajibiki sana majukumu yao, wanachosema ni tofauti na wanachofanya, hii ndiyo sababu watu wengi wanashindwa kuwaamini. Wengi wetu...
1 Reactions
1 Replies
260 Views
Upvote 3
Back
Top Bottom