SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
TANZANIA TUITAKAYO Tanzania tuitakayo ni ile ambayo itabana mianya ya rushwa, Rushwa ni tishio kubwa kwa uwajibikaji na utawala bora. Serikali inapaswa kuchukua hatua madhubuti kupambana na rushwa...
0 Reactions
1 Replies
217 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
AFYA: Tanzania kama nchi ni lazima tufanye mabadiliko katika sekta hii ya afya hili tumpunguze adui mkubwa wa umasikini ambaye ni magonjwa kwenye afya katika miaka mitano ijay, sasa kama nchi...
1 Reactions
2 Replies
202 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Mambo yakutekerezwa katika miaka ijayo ndani ya sekta ya viwanda. 1. Kuboresha miundombinu (barabara, umeme, usafiri na maji) pamoja nakufufua viwanda vyote vilivyokufa katika maeneo mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
267 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Awali ya yote napenda kuwashukuru jamii forum kwa nafasi hii walio tupatia. Katika miaka mitano mpka ishirini na tano Tanzania mm naona tuandae mpango kazi imara wa kuzuia uchafuzi wa mazingira...
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa sasa yamekua yakiongezeka kwa kasi siku baada ya siku. Ikiwa yote hayo yanahitaji mazingira pamoja na rasilimali zilizopo katika mazingira husika, uhusiano...
3 Reactions
1 Replies
312 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Zipo teknolojia nyingi sana ambazo ni kama zimetupita barani Afrika hususan nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ikiwemo Taifa la Tanzania. Katika teknolojia hizi zilizotupita kidogo...
1 Reactions
9 Replies
823 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Tatizo la Traffic Police barabarani: wananchi tunacheleweshwa sana kwenye shughuli zetu tukiwa kwenye daladala kwa daladala hiyo moja kusimamishwa mara kadhaa na Traffic kwa trip hiyo hiyo moja...
0 Reactions
1 Replies
235 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
[GASTON JORDAN LIVIGHA] [gaejombishi@gmail.com] UTANGULIZI Naandika sio kwa dhumuni la kushinda pesa la hasha! lakini naandika nikiwa kama mmoja wa vijana walioathirika na janga la ukosefu wa...
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Kumeendelea kutokea matukio mengi ya uhalifu nchini Tanzania yenye viashiria vya kuwepo tatizo kubwa la afya ya akili miongoni mwa wananchi. Miongoni mwa matukio hayo ni visa vya mauaji...
2 Reactions
3 Replies
304 Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Tanzania tuitakayo ni lazima Serikali yetu itengeneze miundombinu ya raia wake kupata ajira ya kudumu na hilo litasaidia rushwa kupungua kama sio kuisha kabisa, mfano: katika familia ya watu 11...
0 Reactions
2 Replies
201 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Napendekeza yafuatayo katika sekta ya afya ili kuleta manufaa kwa Watanzania wote miaka ijayo. 1. Kuhakikisha vituo vyote vya afya vinakuwa na watoa huduma toshelevu kwa ngazi zote ili wahitaji...
0 Reactions
1 Replies
224 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
A: Utangulizi: Tanzania imefanikiwa kupata fursa ya kuwa mwenyeji wa Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (Pan African Postal Union - PAPU) jijini Arusha, ambapo hatua hii inategemewa kuchagiza...
0 Reactions
1 Replies
307 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI: Miaka ya hivi karibuni watanzania tumekuwa tukipokea taarifa au kushuhudia mauaji ya kinyama kutoka mikoa mbalimbali nchini. Bila shaka wote...
0 Reactions
2 Replies
257 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Miundombinu ni miongoni mwa sekta ya msingi ambayo serikali inahitaji kutazamia kwa ukaribu zaidi kutokana na mchango wake katika maendeleo ya nchi. Kwa muktadha huo ipo haja ya kufanyika...
1 Reactions
1 Replies
278 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Mwaka 2024 mwezi wa tano katika kijiji cha Mwendokasi, Kuna dokta mmoja anatokea kwenye chumba cha leba huyu anaitwa “dokta Steve”. Kwa mbele tunamuona mzee mmoja anakuja kwa haraka huku akiwa na...
0 Reactions
1 Replies
179 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania can undertake various projects across different sectors to benefit its people in the coming 25 years. Here are a few project ideas: Infrastructure Development: Constructing and upgrading...
0 Reactions
1 Replies
227 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
1.IUNDWE TUME YA UDHIBITI UBORA WA MIKATABA NA USHAURI KWA SERIKALI (National Commission for Contracts Review and Consultation) Iwe taasisi huru yenye jukumu la kupitia mikataba yote ya kimkakati...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
SAFISHA ENEO LAKO DAR IWE SAFI Hapo zamani za kale ilijulikana kama mzizima ila kwa sasa hivi inaitwa Dar es salaam ni mkoa wa nchini ya Tanzania pia ni moja wapo la jiji la Tanzania, inawakazi...
0 Reactions
2 Replies
246 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Pamoja na uwepo wa jitihada za serikali katika kutoa elimu maalumu kwa watu wenye matatizo ya kusikia na kuzungumza, rakini bado kumekua na changamoto mbali mbali ambazo haswa zimekua...
0 Reactions
4 Replies
694 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
kama nchi nyingine nyingi, Tanzania inakabiliwa na changamoto za kimfumo katika mfumo wake wa elimu. Kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi na teknolojia, kuna haja ya kuboresha mfumo wa elimu ili...
1 Reactions
3 Replies
602 Views
Upvote 4
Back
Top Bottom