ada

Augusta Ada King, Countess of Lovelace (née Byron; 10 December 1815 – 27 November 1852) was an English mathematician and writer, chiefly known for her work on Charles Babbage's proposed mechanical general-purpose computer, the Analytical Engine. She was the first to recognise that the machine had applications beyond pure calculation, and to have published the first algorithm intended to be carried out by such a machine. As a result, she is often regarded as one of the first computer programmers.Ada Byron was the only child of poet Lord Byron and Lady Byron. All of Byron's other children were born out of wedlock to other women. Byron separated from his wife a month after Ada was born and left England forever four months later. He commemorated the parting in a poem that begins, "Is thy face like thy mother's my fair child! ADA! sole daughter of my house and heart?". He died in Greece when Ada was eight years old. Her mother remained bitter and promoted Ada's interest in mathematics and logic in an effort to prevent her from developing her father's perceived insanity. Despite this, Ada remained interested in him, naming her two sons Byron and Gordon. Upon her eventual death, she was buried next to him at her request. Although often ill in her childhood, Ada pursued her studies assiduously. She married William King in 1835. King was made Earl of Lovelace in 1838, Ada thereby becoming Countess of Lovelace.
Her educational and social exploits brought her into contact with scientists such as Andrew Crosse, Charles Babbage, Sir David Brewster, Charles Wheatstone, Michael Faraday and the author Charles Dickens, contacts which she used to further her education. Ada described her approach as "poetical science" and herself as an "Analyst (& Metaphysician)".When she was a teenager, her mathematical talents led her to a long working relationship and friendship with fellow British mathematician Charles Babbage, who is known as "the father of computers". She was in particular interested in Babbage's work on the Analytical Engine. Lovelace first met him in June 1833, through their mutual friend, and her private tutor, Mary Somerville.
Between 1842 and 1843, Ada translated an article by Italian military engineer Luigi Menabrea on the calculating engine, supplementing it with an elaborate set of notes, simply called "Notes". Lovelace's notes are important in the early history of computers, containing what many consider to be the first computer program—that is, an algorithm designed to be carried out by a machine. Other historians reject this perspective and point out that Babbage's personal notes from the years 1836/1837 contain the first programs for the engine. She also developed a vision of the capability of computers to go beyond mere calculating or number-crunching, while many others, including Babbage himself, focused only on those capabilities. Her mindset of "poetical science" led her to ask questions about the Analytical Engine (as shown in her notes) examining how individuals and society relate to technology as a collaborative tool.She died of uterine cancer in 1852 at the age of 36.

View More On Wikipedia.org
  1. moyafricatz

    Unapataje Afya ya Akili ili hali unadaiwa namna hii?

    Unapataje AFYA ya Akili, ili Hali unadaiwa namna hii? Kanisani. 1. Unadaiwa Fungu la kumi 2. Ujenzi wa Kanisa. 3. Kumnunulia gari Mtumishi. 4. Ujenzi nyumba ya Pastor. 5. Mchango kwa wasiojiweza. Serikalini. 1. TRA 2: TOZO. 3: Leseni ya biashara. 4: Bill ya MAJI 5: Bill ya umeme 6:Tozo ya...
  2. Komeo Lachuma

    Ada ya mja hunena uungwana ni vitendo, kwa hili la Simba mimi Yanga wacha tu niseme

    Kawaida yetu watanzania ni fitina, chuki, husda na unafiki. Leo najitia katika sifa hizo. Simba mmeonesha kitu ambacho Yanga tunapaswa pia kuiga. Najua Yanga wenzangu hili litawakera. Acha mi niseme. Sipendi kuwa mnafiki na kwenda kusemea chooni Mfalme ana masikio ya punda. Yanga tunawekeza...
  3. R

    Nactevet toeni matokeo ya mitihani vijana wajue fate yao, wazazi wajiandae na ada za mwaka 2022/2023 (vyuo vinafunguliwa 17/10/22)

    Muda ni mchache kwa wazazi kujiandaa na ada na mengineyo. Huwezi kulipoa ada kabla ya kujua fate ya mtoto. NACTEVET toeni matokeo ya mitihani maana vyuo vinafunguliwa tarehe 17/10/2022. Muda umeisha!
  4. D Metakelfin

    Msaada: Shule nzuri ya sekondari yenye bweni, ada nafuu Dar es Salaam

    Wakuu naomba msaada kwa anayeifahamu shule nzuri ya secondary yenye ada nafuu kwa hapa DARESALAAM. Mtoto ni wa kiume Mkinitajia na gharama zake ntashukuru zaidi. Ahsante
  5. P

    Kwa sasa mbali na kwamba ninakipato, lakini kipato changu kinaishia kwenye kula tena kwa kukatisha milo, Je,lipi bora, nilipe ada tufe au tule tuish

    Kwa jinsi ilivyo kwa sasa, huwenda nawakilisha wananchi wengi mamilioni kwa mamilioni wenye swali kama hili Maisha yamekuwa ghali sana kushinda vipato vyetu, Wengi wetu, vipato vyetu haviruhusu kucheza mbali na kula tuu, na hapo ni kwa kukatisha Milo, kama mtu kwa kipato hikihiki ambacho...
  6. BARD AI

    Vyuo vikuu 15 bora zaidi duniani na ada zake

    1. Harvard University (US) Chuo Kikuu cha Harvard ni chuo kikuu cha utafiti cha Ivy League cha kibinafsi huko Cambridge, Massachusetts. kilianzishwa mwaka wa 1636 kama Chuo cha Harvard na kutajwa kwa mfadhili wake wa kwanza, kasisi wa Puritan John Harvard 2. Stanford University (US) 3...
  7. blogger

    Private schools (English medium) ada kupanda maradufu 2023. Serikali iingilie kati

    Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali. Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi...
  8. adriz

    Tangazo la Serikali kufuta ada kwa watahiniwa linachanganya

    Habari za mchana wana JF, Moja kwa moja. Ninavyojua tokea elimu ilivyoanza rasmi kutolewa hakuna ada yeyote inayolipwa mpaka mwanafunzi anafanya mtihani na kumaliza kila kitu bure kasoro kidato cha tano na cha sita sasa kilichofutwa leo ni kipi? #UziTayari
  9. BARD AI

    Serikali yafuta ada ya Mitihani kwa watahiniwa wa shule za Serikali

    Taarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) imesema watahiniwa wa Darasa la 7, Kidato cha 4 na 6 kutoka shule za Serikali hawatolipa ada hizo kuanzia sasa. Hata hivyo Baraza limesema ada hizo zitaendelea kulipwa na wanafunzi wa shule za binafsi.
  10. mayowela

    Chuo kipi Tanzania chenye Unafuu wa Ada kwa kusoma Masters

    Habari wana jamvi, ni Chuo gani hapa kwetu chenye unafuu wa Ada kwa level ya Masters, hasahasa Masters of Business Administration. Na kwa wenye uzoefu kozi hii inaugumu wowote katika usomaji kama kwenye Degree ulisoma kozi ingime tofauti na hii. Nawasilisha kwa mrejesho zaidi.
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Hivi Kwa hii Ada ya Udaktari, watoto wa Masikini watatimiza ndoto zao kweli?

    Kwema Wakuu! Huwaga najiuliza ikiwa Ada ya kusomea Udaktari kwa mwaka ni zaidi ya Milioni Sita bila ya mkopo. Ukipewa Mkopo 100% yadaiwa Serikali itakulipia nusu yaani sio zaidi ya milioni tatu. Inamaana mwanafunzi atalipa sio pungufu ya Tsh. Milioni 3. Kwa miaka mifano hiyo ni zaidi ya Tsh...
  12. BARD AI

    Binti aliyefutiwa deni Mloganzila aliwahi kuosha magari kutafuta ada

    Maisha ni safari ndefu, kuna milima na mabonde. Ndivyo unavyoweza kumwelezea Lightness Shirima, ambaye amepitia changamoto nyingi za maisha katika umri mdogo. Katika kuhakikisha anatimiza ndoto zake za elimu, Lightness amekuwa akitafuta msaada wa hapa na pale ili kufikia malengo, licha ya...
  13. Bushmamy

    Kilimanjaro: Wazazi wa wanafunzi wa shule za kata wilayani Hai kubambuliwa mifugo yao kwa lazima ili kulipia ada

    Serikali imekuwa ikitangaza kila wakati kuwa shule za kata ni bure na hakuna malipo yoyote. Hali ni tofauti kabisa Mkoani Kilimanjaro kwani shule hizo zimekuwa zikilipisha wazazi hela ya ada kiasi cha shilingi elf 70 kwa kila mtoto, pamoja na mchango wa mahindi na maharage kila mwaka. Baadhi...
  14. F

    Siku wazazi wakitumia mbinu za mzazi huyu familia zitaendelea. Hela anazo nyingii ila ada analipa ndogo na mtoto anapata A zote O level na A level

    Mzazi wa huyu dogo ndie mzazi mjanja kuliko wote. Hela anazoo za kutosha tu.. jumba zuri la ghorofa na magari kibao. Ila Watoto wake wanasoma kayumba kuanzia msingi mpaka A level. Na bado watoto wake wanapata A zotee hakuna kufeli. Yaani ada sisimizi ila matokeo temboo Mtoto ukimsimamia...
  15. chizcom

    App ya Simba ni kama tunapoteza pesa kwenye ada kulipia tupate taarifa na burudani

    Mimi ni mwana-Simba na nilivutiwa sana kuona Simba ikizidi kusonga kidigitali ila hii digitali yao imelala nyuma kama kawaida yetu suala la ICT linakuwa tofauti na kulizika kabisa na mifumo yao. Hii App ya Simba tulitarajia mengi mfano ukilinganisha na app za club nyingine app zao unaweza kuwa...
  16. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Tatizo sio ada bali ubovu wa mitaala ya elimu yetu

    Wakuu Serikali haijatatua tatizo! Tatizo sio malipo ya Ada bali mhitimu atafanya nini Baada ya kumaliza elimu yake! Je, anaweza KUTUMIA elimu yake kujiajiri!!?kufanya jambo jipya lenye soko nchini!!!? Mhitimu huyu aliemaliza kidato cha nne au sita Anaweza kujiajiri na kukuza kipato chake KWA...
  17. Nyendo

    Bajeti yapendekeza Elimu ya kidato cha tano na sita kutolewa bure

    Bajeti yapendekeza Elimu ya kidato cha tano na sita kutolewa bure. Wanafunzi 90000 wa kidato cha tano na wanafunzi 50000 wa kidato cha sita. Ili kupunguza adha wanazokumbana nazo ada za watu hao imefutwa. Hivyo elimu bila ada itakuwa kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha sita. Pia inaangaliwa...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Serikali irudishe Tsh 20,000/= Ada ya sekondari kwa mwaka

    Kwema Wakuu! Serikali inapaswa iirejeshe Ada kwa wanafunzi wanaosoma shule, nchi yetu bado hatujafikia nyakati za kutoa vitu bure, Shule ya Msingi ndio iwe Bure lakini sekondari, wanafunzi watoe pesa, Isiwe pesa kubwa Sana, iwe Tsh 20,000/= Kwa familia yenye watoto watano ni 100,000/= Kwa...
  19. chiembe

    Weka taarifa za ada na ubora wa shule hapa ili kusaidia wazazi kufanya uamuzi sahihi

    Katika moja ya mambo ambayo huumiza kichwa ni mzazi kufanya maamuzi ya shule ipi binafsi apeleke mwanae kwa masomo ya O level na A level. Tuweke taarifa au swali kuhusu ada na ubora wa shule na pia michango. Naanza kuuliza shule ya Kaizirege, Cannosa na Marian Boys
  20. and 300

    Ada za Vyuo/shule, Chakula kupanda maradufu!

    Tozo na bei mpya ya mafuta itapandisha kila kitu zikiwemo stationeries, ada. Punde tutaongea lugha moja!
Back
Top Bottom