afcon

The CAF Africa Cup of Nations, officially CAN (French: Coupe d'Afrique des Nations), also referred to as AFCON, or Total Africa Cup of Nations after its headline sponsor, is the main international men's association football competition in Africa. It is sanctioned by the Confederation of African Football (CAF) and was first held in 1957. Since 1968 it has been held every two years, switching to odd-numbered years in 2013.
In the first edition in 1957 there were only three participating nations: Egypt, Sudan and Ethiopia. South Africa was originally scheduled to compete, but was disqualified due to the apartheid policies of the government then in power. Since then the tournament has grown greatly, making it necessary to hold a qualifying tournament. The number of participants in the final tournament reached 16 in 1998 (16 teams were to compete in 1996 but Nigeria withdrew, reducing the field to 15, and the same happened with Togo's withdrawal in 2010), and until 2017, the format had been unchanged, with the sixteen teams being drawn into four groups of four teams each, with the top two teams of each group advancing to a "knock-out" stage. On 20 July 2017, the Africa Cup of Nations was moved from January to June and expanded from 16 to 24 teams.Egypt is the most successful nation in the cup's history, winning the tournament a record of seven times (including when Egypt was known as the United Arab Republic between 1958 and 1961). Three different trophies have been awarded during the tournament's history, with Ghana and Cameroon winning the first two versions to keep after each of them won a tournament three times. The current trophy was first awarded in 2002 and with Egypt winning it indefinitely after winning their unprecedented third consecutive title in 2010.
In 2013, the tournament format was switched to being held in odd-numbered years so as not to clash with the FIFA World Cup.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Tujenge shule za michezo kila mkoa tuachane na kuandaa AFCON

    Nawashauri Watanzania tuwekeze katika kujenga shule za michezo kila mkoa. Kila tunapofanya mashindano yale ya shule za msingi tunawachukua wale best students katika kila mchezo na kuwahamishia katika shule hizi za mikoa za michezo. Hapo wawekewe facilities zote, na walimu. Kila mwaka shule...
  2. B

    Taifa Stars tukijipanga tunaenda Afcon 2023

    Nini kifanyike twende AFCON 2023. Tusiwe wanyonge TAIFA STARS tujipange game zote za nyumbani tushinde do or die. Uwezo tunao tukiacha unyonge. Wandishi waisupport timu shida inakuja wandishi wanaleta usimba na uyanga. Nauhaikika Algeria afe nyumbani, Uganda afe nyumbani niger afe nyumbani hizo...
  3. Moshi25

    TFF iwaandikie barua CAF kupinga kuchezeshwa mechi zetu za Afcon qualifier na waamuzi wabovu

    Kitendo cha mpira wa adhabu ndogo waliopata Niger kupigwa juu sana na bila kuguswa na mchezaji yoyote na ukatoka nje na kwa maajabu ya kila alietazama mechi ya Niger na Tanzania na Niger kupewa kona kimetia aibu mno waamuzi wapumbavu wa kiafrika wanaobeba timu zao bila aibu. Leo kila mchezaji...
  4. JanguKamaJangu

    Cameroon: Mabasi 89 yaliyotumika Afcon 2021 hayajulikani yalipo

    Miezi miwili baada ya kumalizika kwa Michuano ya Kombe la Afrika (AFCON) Nchini Cameroon, mabasi 89 kati ya 90 yaliyonunuliwa na Serikali kwa ajili ya kusafirisha timu hayajulikani yalipo. Basi pekee ambalo limesalia ni lile lililokuwa likitumiwa na timu ya taifa ya Cameroon katika michuano...
  5. M

    Baada ya kuliona Kundi letu F la Kufuzu AFCON 2023 lilivyo, nashauri tujiandae zaidi na lile la 2025 kwani kwa hili hatutoboi ng'o

    Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger? Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger? Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji...
  6. M

    Kufuzu AFCON-2023: Tanzania yapwangwa Kundi F pamoja na Uganda, Algeria, Niger

    Je Tanzania ataweza kufuzu mbele ya miamba hii. Group F Algeria Uganda Niger Tanzania === Group A: Nigeria, Sierra Leone, Guinea-Bissau, Sao Tome e Principe or Mauritius Group B: Burkina Faso, Cape Verde, Togo, Eswatini Group C: Cameroon, Kenya, Namibia, Burundi Group D: Egypt, Guinea...
  7. The Sunk Cost Fallacy

    Serikali, viwanja mlivyopanga kujenga vitakuwa na hadhi ya kuandaa AFCON au ni kuweka nyasi bandia tu?

    Habari wapenzi wa michezo. Serikali inasema kuanzia mwaka ujao wa Fedha itaanza kujenga viwanja mikoani na itaanza na mikoa 10. Ni jambo jema,sasa swali je hivi viwanja vitakuwa na standards za sports complex au ndio kufanya Bora liende kwa kuweka manyasi bandia basi? Nashauri serikali ianze...
  8. John Haramba

    Sadio Mane, picha la kutisha kutoka hotelini baada ya kubeba AFCON

    Sadio Mane akiwa hotelini baada ya fainali ya AFCON.
  9. John Haramba

    Rais Senegal aagiza leo mapumziko ya taifa kusherekea ubingwa wa AFCON

    Rais wa Senegal Macky Sall, ametangaza leo Jumatatu Februari 7, 2022 kuwa ni siku ya mapumziko maalum nchini kwake kwa ajili ya kusherehekea ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika #AFCON2021 waliochukua usiku wa kuamkia leo kwa kuifunga Misri kwa penati 4-2. Sall, alikuwa njiani kwenda katika...
  10. John Haramba

    Senegal wafalme wa Afrika, watwaa AFCON mbele ya Misri

    #TeamSenegal imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga #TeamMisri kwa penati 4-2 katika mchezo wa fainali ulichezwa kwenye Uwanja wa Olembe jijini Yaounde, Cameroon. Timu hizo zilimaliza dakika 120 za mchezo huo kwa suluhu ya 0-0, hivyo kwa matokeo hayo...
  11. N

    CAF wanaipendelea Simba SC; Barbara aalikwa fainali za AFCON

    Huku CAF wakiwa wametoa ruhusa kwa mashabiki 35 k tarehe 13 isisahaulike kwamba kuna wehu waliwahi kubishana nao wakatoa hadi flyers za bei siku wanacheza na wapopo wakalitia taifa aibu kutolewa mechi za awali Sasa basiii...Caf has done it again wamemualika adui wa matapeli ya soka la bongo...
  12. Erythrocyte

    AFCON Nusu fainali - Misri vs Cameroon: Je, wachezaji wa Misri nao watapewa corona?

    Ikiwa leo ni nusu fainali ya Afcon kati ya Wenyeji Cameroon dhidi ya Misri, tayari fitna za Etoo na kundi lake zishaanza kazi kwa kufungiwa kwa kocha msaidizi wa Misri, kwa kinachodaiwa vurugu kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Morocco. Swali langu ni hili: Je, wachezaji wa Misri nao...
  13. Papa Mopao

    Katika AFCON ya mwaka huu ni timu ipi ina mpira mzuri mno wa kuvutia na mnene?

    Kwa wale waliobahatika kuangalia mechi karibu zote za AFCON ya mwaka huu tu 2022, ni timu ipi kwa upande wako inayocheza mzuri, mnene, wa kuvutia kiasi kwamba hutoki kwenye siti Kama hujabahatika kuangalia mpira, basi usome tu jinsi michango ya waliobahatika kuangalia mechi mbalimbali za...
  14. Kamanda Asiyechoka

    Waafrika wenzetu wakishangilia kutinga fainali za Afcon sisi tunashangilia Samatta kufunga goli ulaya. Watanzaniza tuna matatizo

    Kama kufunga goli ulaya ni mafanikio kwa taifa letu kisoka basi watanzania tumerogwa
  15. The Boss

    AFCON: Kilichoitoa timu ya Ghana, Afrika tuna safari ndefu

    Hii timu inaonekana ushirikina ndo chanzo zaidi.... Ajabu wachezaji karibu wote wanacheza Ulaya... Nimeshangaa sana
  16. I

    Tukuze vipaji, turuhusu Uraia pacha

    Ndiyo njia pekee ya kukimbizana na kiwango standard cha soka la dunia. Kupitia Afcon hii kama taifa tuna la kujifunza hasa tukiyaangalia mataifa madogo kama Comoro, Malawi na cape verde juhudi kubwa na uwezo waliouonyesha licha ya baadhi yao kushiriki kwa mara ya kwanza katka fainali hizi. Ni...
  17. K

    Kwa yanayoendelea AFCON nchini Cameroon, Waafrika tuna laana gani?

    Utaratibu mzima wa uandaaji wa mashindano ni hovyo (muingiliano wa ratiba na ligi kubwa duniani, mpangilio wa taratibu za msingi, usalama wa watazamaji n.k) Ubora duni wa waamuzi Pira bovu linaloonyweshwa na timu zetu (achana na ngozi nyeupe i.e waarabu) tena wachezaji zaidi ya 90% wanacheza...
  18. Kurunzi

    Twende na Taifa Stars Ivory Coast AFCON 2023

    Natamani ifanyike kampeni kubwa ya kuhamasisha timu yetu ya taifa kwenye mashindano ya AFCON 2023 yatakayofanyika Ivory Coast 2023. TFF na Serekali huu ndiyo wakati wa kuunganisha nguvu kuwashirikisha wadau na wanachi kwa ujumla kwenye kampeni hiyo. Updates TIMU ya Taifa Tanzania 'Taifa...
  19. GENTAMYCINE

    Banda wa Simba SC nimemuona akicheza AFCON ya Cameroon, ila Diara wa Yanga SC namuona 'anaozea' Benchi tu. Kulikoni?

    Sasa kama Kipa Djigui Diara ( Yanga SC ) ni mdaka Mishale na kila Siku Magazeti ya Kinafiki ya Mwanaspoti na Championi yanajipendekeza Kumpamba ( Kumsifia ) mbona tokea aitwe na Mali huko AFCON ya Cameroon anaozea tu Benchi / Mkekani? Cha Kushangaza yule Mchezaji Bora na asiyeimbwa na Magazeti...
  20. Kasomi

    Salima Mukansanga Refa wa kwanza mwanamke katika mashindano ya Afcon

    Picha: Salima Mukansanga Salima Mukansanga ameweka historia kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka huu nchini Cameroon, kwa kuwa mwamuzi wa kwanza mwanamke kwenye mashindano ya wanaume. Mnyarwanda huyo mwenye umri wa miaka 33 alisimamia mchuano wa Afcon siku ya Jumatatu...
Back
Top Bottom