afghanistan

Afghanistan ( (listen); Pashto/Dari: افغانستان, Pashto: Afġānistān [avɣɒnisˈtɒn, ab-], Dari: Afġānestān [avɣɒnesˈtɒn]), officially the Islamic Republic of Afghanistan, is a landlocked country in Asia. Afghanistan is bordered by Pakistan to the east and south; Iran to the west; Turkmenistan, Uzbekistan, and Tajikistan to the north; and China to the northeast. Occupying 652,000 square kilometers (252,000 sq mi), it is a mountainous country with plains in the north and southwest. Kabul is the capital and largest city. The population is 32 million, mostly composed of ethnic Pashtuns, Tajiks, Hazaras and Uzbeks.
Human habitation in Afghanistan dates back to the Middle Paleolithic Era, and the country's strategic location along the Silk Road connected it to the cultures of the Middle East and other parts of Asia. The land has historically been home to various peoples and has witnessed numerous military campaigns, including those by Alexander the Great, Mauryas, Muslim Arabs, Mongols, British, Soviets, and by the United States with allied countries. The land also served as the source from which the Kushans, Hephthalites, Samanids, Saffarids, Ghaznavids, Ghorids, Khaljis, Mughals, Hotaks, Durranis, and others have risen to form major empires.
The political history of the modern state of Afghanistan began with the Hotak and Durrani dynasties in the 18th century. In the late 19th century, Afghanistan became a buffer state in the "Great Game" between British India and the Russian Empire. Its border with British India, the Durand Line, was formed in 1893 but it is not recognized by the Afghan government and it has led to strained relations with Pakistan since the latter's independence in 1947. Following the Third Anglo-Afghan War in 1919 the country was free of foreign influence, eventually becoming a monarchy under Amanullah Khan, until almost 50 years later when Zahir Shah was overthrown and a republic was established. In 1978, after a second coup Afghanistan first became a socialist state and then a Soviet protectorate. This evoked the Soviet–Afghan War in the 1980s against mujahideen rebels. By 1996 most of Afghanistan was captured by the Islamic fundamentalist group the Taliban, who ruled as a totalitarian regime for over five years. Following the 9/11 attacks, an intervention by the US and its allies forcibly removed the Taliban from power, and a new democratically-elected government was formed, but the Taliban still control a significant portion of the country.
Afghanistan is a unitary presidential Islamic republic. The country has high levels of terrorism, poverty, child malnutrition, and corruption. It is a member of the United Nations, the Organisation of Islamic Cooperation, the Group of 77, the Economic Cooperation Organization, and the Non-Aligned Movement. Afghanistan's economy is the world's 96th largest, with a gross domestic product (GDP) of $72.9 billion by purchasing power parity; the country fares much worse in terms of per-capita GDP (PPP), ranking 169th out of 186 countries as of 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. chizcom

    Afghanistan ni nchi moja safi sana kibinadamu kama mgeni japo vyombo vya habari kutangaza vibaya

    Hawa jamaa sio kama vyombo vya habari vinavyo chukua mda wa stive mangere,mwijaku,dotto magari,baba levo na wapuuzi ambao wamejazana kila kona kueleza raisi wa nchi bila kufumbua watu nchi ambazo ni fursa. Katika kitu ambacho unatakiwa kuelewa walipotokea na ukarimu wa afghanistan ni kwamba...
  2. S

    Askari wa Marekani waliorudi nchini kwao baada ya kushiriki vita nchini Iraq na Afghanistan wanajiua kwa viwango vya juu

    Ripoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11: 1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano. 2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni...
  3. Yoda

    Kilichotokea Syria kwa Urusi ni kibaya na aibu kuliko kilichotokea Vietnam na Afghanistan kwa Marekani

    Taarifa za Damascus kuanguka mikononi mwa waasi zikiwa zinaendelea kusambaa na kusubiria kuthibitishwa rasmi wengi wameshangazwa na waasi wa Syria kuweza kufanikiwa kirahisi na kwa haraka sana dhidi ya utawala wa Bashar al-Assad Hapa tunajifunza kwa vitendo pia kwamba majeshi ya Urusi, Iran na...
  4. PureView zeiss

    Afghanistan yapiga marufuku wanawake kusomea ukunga

    Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kusoma kozi za ukunga, na wanafunzi walioko vyuoni wameamriwa wasirudi masomoni, hali inayotamatisha ndoto yao ya kupata elimu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Shirika la Habari la BBC imesema takriban taasisi tano tofauti nchini humo...
  5. Mhaya

    Afghanistan: Serikali ya Taliban yapiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni

    Kupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na...
  6. T

    Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

    Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake. Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake...
  7. U

    Inasikitisha Iran kuwafukuza raia milioni 2 wa Afghanistan waliokimbia utawala wa Taliban

    Wadau hamjamboni nyote? Huwezi amini lakini huo ndiyo ukweli Yaani kwa ndugu wavunja undugu kwa ndugu mmoja mwenye neema kumtimua nduguye mwenye shida Serikali ya Kiislamu ya Jamhuri ya Iran imeamua kuwatimua bila huruma Ndugu zao raia wa nchi inayofuata sheria za Kiislamu ya Afghanistan...
  8. Yoda

    Taliban yaja na sheria kali zaidi dhidi ya wanawake Afghanistan, jumuiya ya kimataifa yalaani vikali

    Utawala wa Taliban nchini Afghanistan umeendeleza mkandamizo mkali kwa wanawake wa nchi hiyo kwa kupitisha sheria kali za maadili zinazotaka wanawake kuficha kabisa gubigubi nyuso zao na miili yao wanapokuwa nje ya nyumba zao pamoja na kupiga marufuku wanawake kuongea mbele ya hadhira/umma...
  9. Webabu

    Israel yatakiwa kujihadhari na kilichoipata Marekani nchini Afghanistan

    Ijumaa iliyopita Marekani ilikuwa inaadhimisha kujiondoa rasmi nchini Afghanistan baada ya vita dhidi ya ulichokiita ugaidi vilivyochukua miaka 20. Kuangukia mikononi mwa Taliban kwa mji wa Kabul kulitanguliwa na kuuliwa kwa askari 13 wa Marekani pamoja na 170 wa jeshi la Afghanistan mnamo...
  10. green rajab

    Afghanistan yatuma Brigade moja ya wapigani Kusaidia Lebanon

    Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military base kuimefanya kuwa na Jeshi imara na sasa wanaanza kutoa msaada kwa Nchi jirani. Masaa machache...
  11. Yoda

    Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

    Utaratibu wa familia masikini kuuza watoto wa kike au kuwatoa kama malipo ya mkopo umekuwepo kwa muda mrefu Afghanistan ila kudorora kwa uchumi na kurudi kwa Taliban madarakani baada ya majeshi ya Marekani kuondoka kumezidisha janga hili la kibinadamu na kushuhudia familia nyingi zaidi zikiuza...
  12. MK254

    Magaidi wa ISIS wenye mlengo wa kiislamu wakiri ndio waliua kwenye msikiti Afghanistan

    Magaidi wa ISIS wenye mlengo wa kiislamu wakiri ndio waliua kwenye msikiti wa waislamu kule Afghanistan Vigumu sana kuelewa mlivyo nyie watu....kuuana ndio zenu. Halafu mnalia lia udini. Islamic State claimed responsibility for an attack on Monday on a mosque in Western Herat province in...
  13. MK254

    Watano wauawa kwa risasi ndani ya msikiti Afghanistan

    Sijawahi kuelewa kwanini mnapenda mauaji hivi..... At least five people were killed and three injured after gunmen attacked a mosque during prayer time in Afghanistan's Herat province, the spokesperson for the region's governor's office said on Tuesday. The attack happened on Monday evening...
  14. Mhaya

    Muarabu wa Tanzania anaiponda sana Marekani, akipewa viza ya Afghanistan hataki kwenda

    Pamoja na yoooote, ila Marekani ni nchi fulani yenye uhuru sana akifuatiwa na Uingereza. Hebu fikiria, kwao unafanya maandamano ya aina yoyote ile. Wanaruhusu bila tatizo na wakati nchi nyingine wanakataa. Ujerumani walisema mtu yeyote atakayeandamana kuhusu Palestina, tunamchukua na kumpeleka...
  15. 2 of Amerikaz most wanted

    I'm convinced that women are safer in Afghanistan than in India

    Blazilian women taking a selfie and unarmed with the Taliban, But she was gang raped by 7 men in India. - but if it was the Taliban that raped her instead, then US would've gone back to war with them. ⭐ Sulaiman Ahmed ⭐ Alex Barnicoat ⭐ Huma Zehra
  16. Frank Wanjiru

    Afghanistan War Movies

    1. Brothers 2. Lone Survivor 3. The Outpost 4. Zero Dark Thirty 5. Hyena Road 6. Combat Obscura 7. The Covenant 8. Armadillo 9. Red Sands 10. Lions For Lambs 11. The Old Guard 12. Charlie Wilson's War 13. The Objective 14. War Dogs 15. 12 Strong 16. American Sniper 17. The Hurt Locker 18...
  17. FaizaFoxy

    Mazayuni wanajiondoa GAZA kimyakimya kama walivyofanya Wamarekani Afghanistan

    Mazayuni ujanja umewaishia, kwanza walikiondowa Ghaza kikosi chao kikali kuliko vyote kinachoitwa Golan baada ya kuchezea kichapo na kuona morali ya askari wao ipo chini sana. Wakaona kuendelea kuwaweka hao ni kuwaua tu, wakawaondoa. Wakaleta kimya kimya kikosi kinachoitw "kfir", hiki ni kikosi...
  18. Messenger RNA

    Afghanistan yakumbwa na tetemeko la ardhi la tatu ndani ya wiki moja

    Tetemeko jipya la ardhi limekumba magharibi mwa Afghanistan - siku kadhaa baada ya mitetemeko miwili mikubwa katika eneo hilo kuua zaidi ya watu 1,000. Shirika la Utafiti wa Jiolojia la Marekani (USGS) linasema kuwa tetemeko hilo la ukubwa wa 6.3 lilipiga karibu na mji wa Herat. Ilikuwa katika...
  19. Father of All

    Marekani inafanya uharibifu mwingine Afghanistan na Iraq kwa faida ya nani?

    Kwa namna Marekani ilivyoonyesha upendeleo wa dhahiri, naweza kusema inatengeneza uharibifu mwingine sijui kwa faida gani! Je, hali hii inaiweka dunia kwenye wakati gani? Je, hii ni mbinu ya Marekani kuendelea kuzimiliki nchi za Mashariki ya Kati au kiburi tu? Je, Marekani inatawaliwa na...
  20. BARD AI

    Watu 2,000 waripotiwa kufariki kwenye Tetemeko la Ardhi nchini Afghanistan

    Serikali ya Taliban imetoa taarifa hiyo baada ya Matetemeko Matatu yenye kipimo cha Richa 6.3, 5.9 na 5.5 kupiga upande wa Magharibi wa Nchi hiyo, umbali wa Kilomita 25 kutoka jiji la Herat Tetemeko la kwanza lilipiga Jumamosi ya Oktoba 7, 2023 na kufuatiwa na mengine mawili ambapo awali Umoja...
Back
Top Bottom