afghanistan

Afghanistan ( (listen); Pashto/Dari: افغانستان, Pashto: Afġānistān [avɣɒnisˈtɒn, ab-], Dari: Afġānestān [avɣɒnesˈtɒn]), officially the Islamic Republic of Afghanistan, is a landlocked country in Asia. Afghanistan is bordered by Pakistan to the east and south; Iran to the west; Turkmenistan, Uzbekistan, and Tajikistan to the north; and China to the northeast. Occupying 652,000 square kilometers (252,000 sq mi), it is a mountainous country with plains in the north and southwest. Kabul is the capital and largest city. The population is 32 million, mostly composed of ethnic Pashtuns, Tajiks, Hazaras and Uzbeks.
Human habitation in Afghanistan dates back to the Middle Paleolithic Era, and the country's strategic location along the Silk Road connected it to the cultures of the Middle East and other parts of Asia. The land has historically been home to various peoples and has witnessed numerous military campaigns, including those by Alexander the Great, Mauryas, Muslim Arabs, Mongols, British, Soviets, and by the United States with allied countries. The land also served as the source from which the Kushans, Hephthalites, Samanids, Saffarids, Ghaznavids, Ghorids, Khaljis, Mughals, Hotaks, Durranis, and others have risen to form major empires.
The political history of the modern state of Afghanistan began with the Hotak and Durrani dynasties in the 18th century. In the late 19th century, Afghanistan became a buffer state in the "Great Game" between British India and the Russian Empire. Its border with British India, the Durand Line, was formed in 1893 but it is not recognized by the Afghan government and it has led to strained relations with Pakistan since the latter's independence in 1947. Following the Third Anglo-Afghan War in 1919 the country was free of foreign influence, eventually becoming a monarchy under Amanullah Khan, until almost 50 years later when Zahir Shah was overthrown and a republic was established. In 1978, after a second coup Afghanistan first became a socialist state and then a Soviet protectorate. This evoked the Soviet–Afghan War in the 1980s against mujahideen rebels. By 1996 most of Afghanistan was captured by the Islamic fundamentalist group the Taliban, who ruled as a totalitarian regime for over five years. Following the 9/11 attacks, an intervention by the US and its allies forcibly removed the Taliban from power, and a new democratically-elected government was formed, but the Taliban still control a significant portion of the country.
Afghanistan is a unitary presidential Islamic republic. The country has high levels of terrorism, poverty, child malnutrition, and corruption. It is a member of the United Nations, the Organisation of Islamic Cooperation, the Group of 77, the Economic Cooperation Organization, and the Non-Aligned Movement. Afghanistan's economy is the world's 96th largest, with a gross domestic product (GDP) of $72.9 billion by purchasing power parity; the country fares much worse in terms of per-capita GDP (PPP), ranking 169th out of 186 countries as of 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Mafuriko yaua zaidi ya watu 50 Afghanistan, Pakistan

    Mafuriko yameua zaidi ya watu 50 katika Jimbo la Logar Nchini Afghanistan na sehemu ya Nchi ya jirani ya Pakistan huku baadhi ya watu wengine wakiwa hawajulikani walipo. Hasara nyingine ni nyumba zaidi ya elfu moja kuharibiwa, mazao yaliyokuwa shambani yameharibika, Wanyama wamepotea na wengine...
  2. Lady Whistledown

    Hali ya Uokoaji Afghanistan bado tete, Taliban waomba msaada wa Kimataifa

    Inaelezwa kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na uharibifu mkubwa wa majengo na miundo mbinu ni kikwazo kikubwa kwa jopo la uokoji kusini-mashariki mwa Afghanistan, ambapo tetemeko kubwa la ardhi linaripotiwa kuua zaidi ya watu 1,000 na kuacha majeruhi takriban 1500. Mamlaka ya Taliban...
  3. MK254

    Taliban waomba msaada uzunguni baada ya tetemeko la ardhi Afghanistan

    Tetemeko hatari sana limefanya uharibifu na kusababisha vifo vingi hadi Taliban wameomba msaada. ============= At least 920 people have been killed and 600 injured after an earthquake struck eastern Afghanistan early on Wednesday, authorities said. The 6.1 magnitude quake hit in Paktika...
  4. Lady Whistledown

    Tetemeko la ardhi laua takriban watu 1500 nchini Afghanistan

    Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.1, kwa kipimo cha richa, limetikisa maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo na kudaiwa kusababisha vifo 130 nchini humo, mamlaka ya kudhibiti majanga nchini humo zimesema idadi ya vifo inaweza kuongezeka Inaelezwa kuwa, tetemeko hilo lilipiga takriban kilomita 44...
  5. JanguKamaJangu

    Afghanistan: Mwandishi wa habari atupwa jela mwaka mmoja kwa kuikosoa Taliban katika mitandao ya kijamii

    Mahakama Nchini Afghanistan imemuhukumu mwanandishi wa habari, Khalid Qaderi kifungo cha jela mwaka mmoja kwa makosa ya kuikosoa Serikali ya Taliban katika mitandao ya kijamii, japokuwa Msemaji wa Taliban amesema amehukumiwa kwa makosa ya jinai. Qaderi ni ripota wa Radio Nowruz amekuwa...
  6. beth

    Taliban yaamuru Wanawake kujifunika kwenye maeneo ya umma

    Kiongozi wa Taliban ameamuru Wanawake Nchini Afghanistan kuvaa "Chador" ambayo hufunika uso na sehemu kubwa ya mwili. Hii ni moja ya amri kali zaidi kutangazwa tangu Taliban ilipochukua Madarala Mwaka 2021 Imeelezwa kuwa, Baba au ndugu wa kiume wa karibu anaweza kufungwa au kufukuzwa kazi...
  7. JanguKamaJangu

    Asilimia 90 ya wakazi wa Afghanistan wanakabiliwa na uhaba wa chakula

    Raia wa Afghanistan wamesherekea Sikukuu ya Eid, Mei Mosi huku wengi wao wakiwa na tatizo la njaa. Umoja wa Mataifa (UN) imeeleza kuwa zaidi ya asilimia 90 ya raia wa taifa hilo wanakabiliwa na uhaba wa chakula tangu uongozi wa Taliban uliposhika madaraka Agosti 2021. “Nani atanipa fedha au...
  8. beth

    Taliban yaamuru TikTok kupigwa marufuku kwa madai inapotosha Vijana

    Serikali ya Taliban imeagiza 'App' maarufu ya TikTok kupigwa marufuku kwa madai kuwa inasababisha Vijana Nchini Afghanistan kupotea Haijafahamika wazi ni lini marufuku hiyo itaanza lakini Msemaji wa Taliban, Inamullah Samangani amesema hatua hiyo ilikuwa ya lazima ili kuzuia kizazi hicho...
  9. The Assassin

    Afghanistan: Taliban imesema ni marufuku mfanyakazi wa Serikali kutokuwa na Ndevu. Kama huna Ndevu usikanyage kazini

    Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini. Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi...
  10. imhotep

    Tofauti kati ya Rais Asharaf Ghani wa Afghanistan na Vlodmir Zelensky wa Ukraine

    Wadau, inakuwaje Kiongozi mmoja anaikimbia Nchi yake na watu wake na mwingine anakomaa na kuongoza mapambano. Hata hapa Nyumbani kuna Kiongozi mmoja Uviko wa kumi na tisa ulipoingia alikimbilia Kijijini kwao Chato. Je ni malezi ndio yanayosababisha Kiongozi mmoja kuwa jasiri na mwingine kuwa...
  11. Miss Zomboko

    Wengi wa wakimbizi duniani wanatoka katika nchi 5, Afghanistan, Myanmar, Sudan Kusini, Syria na Venezuela

    Wengi wa wakimbizi duniani wanatoka katika nchi 5, Afghanistan, Myanmar, Sudan Kusini, Syria na Venezuela. Na nchi hizi ndizo zimo hatarini zaidi na athari za mabadiliko ya tabianchi. =========== Since the 1990s, we have become increasingly committed to protecting the environment and of the...
  12. sky soldier

    Angekuwepo Trump, Afghanistan ingekuwa chini ya Taliban? Kungekuwa na hii hali inayoendelea huko Ukraine / Russia?

    Ama kwa hakika naweza kusema Trump alimudu vingi sana licha ya kuchafuliwa sana na Media kubwa ambazo ni left wing kama cnn, bbc, al jazeera, msnbc, cbs, n.k. lakini Trump aliweza kufanya mambo mengi sana. Moja ya mambo aliyoyapa kipaumbele ni kupunguza misuguano ya uadui na kujikita zaidi...
  13. Sky Eclat

    Afghanistan: Parents sell children and kidneys to feed starving families

    After the withdrawal of Western forces from Afghanistan last year, the Taliban regime took over but has not received international recognition. Afghans are now resorting to desperate measures to feed themselves as aid struggles to reach them. By correspondent Alex Crawford, cameraman Jake...
  14. beth

    Afghanistan: Kaimu Waziri Mkuu asema Uongozi wa Taliban umekidhi vigezo, utambuliwe kimataifa

    Mullah Hasan Akhund anayekaimu nafasi ya Waziri Mkuu wa Nchi hiyo amesema Utawala wa Taliban umekidhi vigezo vyote hivyo itambuliwe na Serikali za Kimataifa Akhund ameeleza hayo katika hotuba yake ya kwanza tangu akaimu nafasi hiyo Septemba 2021. Serikali zimekuwa zikisita kuitambua #Taliban...
  15. beth

    Viongozi wa Taliban wanafanya Ubaguzi na Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake na Wasichana

    Kundi la Wataalamu 36 wa Haki za Binadamu kutoka Umoja wa Mataifa limesema Viongozi wa Taliban wanafanya Ubaguzi na Ukatili wa Kijinsia kwa kiasi kikubwa dhidi ya Wanawake na Wasichana Wanawake na Wasichana wamekuwa wanapinga Kanuni mbalimbali dhidi yao tangu Taliban kuchukua madaraka Agosti...
  16. Miss Zomboko

    Rais wa zamani wa Afghanistan asema hakuwa na chaguo jingine ila kuondoka Kabul

    Rais wa zamani wa Afghanistan Ashraf Ghani amesema hakuwa na chaguo jingine ila kuondoka haraka Kabul wakati Wataliban waliukaribia mji huo mkuu. Ghani amekanusha kuwa kulikuwa na mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea wakati huo ya makubaliano ya kuwachia madaraka kwa amani, kama walivyodai...
  17. beth

    Afghanistan: Wanawake wapigwa marufuku kusafiri mbali bila ndugu wa kiume

    Taliban imesema Wanawake wanaotaka kusafiri umbali mrefu (zaidi ya Kilomita 72) wasipewe usafiri barabarani isipokuwa wakiwa wamesindikizwa na ndugu wa kiume wa karibu Mwongozo huo wa Serikali ambao umekosolewa na Wanaharakati pia umetoa wito kwa wamiliki wa magari kukataa kuwapandisha Wanawake...
  18. beth

    Afghanistan: Taliban wataka Serikali yao kutambuliwa

    Kundi la Taliban limeitaka Marekani na Mataifa mengine kutambua Serikali yao, likisema kushindwa kufanya hivyo na kuendelea kusitisha Misaada kutaleta matatizo sio tu kwa Afghanistan, bali ulimwengu mzima Hakuna Nchi ambayo imeitambua rasmi Serikali ya Afghanistan tangu ichukue Madaraka Mwezi...
  19. beth

    WFP: Mamilioni ya raia wa Afghanistan hatarini kukumbwa na baa la njaa

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa Mamilioni ya Raia Nchini Afghanistan watakabiliwa na baa la njaa msimu wa baridi ikiwa hatua za haraka hazitachukuliwa. Imeelezwa, takriban watu Milioni 22.8 watakumbwa na uhaba wa chakula huku Watoto Milioni 3.2 chini ya miaka mitano...
  20. beth

    UN yakosoa ahadi hewa za Taliban kwa Wanawake na Wasichana wa Afghanistan

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres amekosoa ahadi hewa zilizotolewa na Taliban kwa Wanawake na Wasichana wa Afghanistan, akihimiza Mataifa kutoa fedha kwa Nchi hiyo ili kuepusha kuporomoka Uchumi Mamilioni ya Wasichana bado wanasubiri kurejea Shule wakati vipindi kwa Wavulana...
Back
Top Bottom